Wema Sepetu Awashukia Waandaaji wa Instagram Party, Kisa Malipo ya Mzee Majuto
Staa wa Bongo Movies Wema Sepetu ameamaua kuwachana wazi wazi waandaaji wa Instagram Party kwa kitendo chao cha kutomlipa pesa hadi sasa hivi staa mwenzake Mzee Majuto.
Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli. Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza. Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s72-c/0.1JEMBE18.jpg)
WEMA SEPETU NA PICHA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s640/0.1JEMBE18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-spkNfeGD3NA/VUeGU6_ePVI/AAAAAAABNgo/y9EZYBWx5GE/s640/0.1JEMBE17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pwMbOqLT-Is/VUeGcFsDmnI/AAAAAAABNg4/_O_yxTEjUsE/s640/0.1JEMBE2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kOIQVMWAipo/VUeGchXC6xI/AAAAAAABNg8/dvD4-5MdaPM/s640/0.1JEMBE3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjoglUD_wIU/VUeGfnDhB1I/AAAAAAABNhI/vehtZagNwTc/s640/0.1JEMBE10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EIWQ_Pdi094/VUeGi_0JEwI/AAAAAAABNhY/WqOaBt_sABw/s640/0.1JEMBE9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KEKAtyJgN4I/VUeGjtGTR1I/AAAAAAABNhc/5-FqsdPdjUM/s640/0.1JEMBE4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PO4F3Ze58kk/VUeGkA3PChI/AAAAAAABNhk/9OHfjRz1qZ4/s640/0.1JEMBE5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53unzV3nq4U/VUeGk1Gf1_I/AAAAAAABNho/RTWEryQ6t58/s640/0.1JEMBE6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7INJeHmtLBw/VUeIZ67CJmI/AAAAAAABNh8/tpdzzc3beIw/s640/0.1JEMBE11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-glABXA27XNQ/VUeIcg9KASI/AAAAAAABNiE/sEp2OH2jwpA/s640/0.1JEMBE15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a6aupD2dRig/VUeIeey1qiI/AAAAAAABNiM/ofpdB5L1N8o/s640/0.1JEMBE8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g-YJJeEXYQ4/VUeIxUiSONI/AAAAAAABNi0/ilfLlTETlOc/s640/0.1JEMBE14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eVdpY-wdQ_k/VUeIjq6BS6I/AAAAAAABNic/GKFILVpYmKw/s640/0.1JEMBE7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncDCf_MoL6Q/VUeInYrlCUI/AAAAAAABNik/z45nzqc74AQ/s640/0.1JEMBE16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXAJH3AQUJo/VUeIg4KcusI/AAAAAAABNiU/IwE6ArlcfQY/s640/0.1JEMBE1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qFrA9_bsz3k/VUeIrmOwW_I/AAAAAAABNis/6X1DQSLNcT8/s640/0.1JEMBE20.jpg)
9 years ago
Bongo518 Aug
Hackers waigeuza akaunti ya Instagram ya Fid Q kuwa ya Wema Sepetu!
9 years ago
Bongo504 Nov
Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram
![11385131_915960011829242_1002926144_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11385131_915960011829242_1002926144_n-300x194.jpg)
Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.
Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.
Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.
Mastaa wengine...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram
Dec 27 mashabiki wa Diamond Platnumz walipost video ya msanii wa Bongo Movies, Wema Sepetu katika mtandao wa instagam ambayo ikionesha akiimba wimbo wa Diamond uitwao ‘Utanipenda’. Baada ya kusambaa kwa video hiyo yenye dakika 15 Wema akuchukua muda kuwajibu mashabiki hao na kuandika’Mwenzangu niache na kisauti changu ila swali la kizushi kwa hao wanaojiita […]
The post Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu!
Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa staa kutoka bongo flevani, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money. Najua pia mmekuwa mkimfuatilia Vanessa kwenye matukio yake mengi na kwa ajili ya upendo wenu mmeamua pia kuwa karibu naye kwenye Instagram ili chochote atakachokifanya kisikupite. Ukitembelea Instagram page ya Vee Money @VanessaMdee sasa hivi utakutana na […]
The post Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu! appeared first on...
9 years ago
Bongo Movies02 Nov
Picha: Birthday Party ya Wema Sepetu Jana Usiku
Usiku wa jana, Novemba 1 staa wa Bongo Movies , Wema sepetu aliangusha pomba la pati ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa ambapo mastaa wengi wa hapa bongo walikuwepo akiwepo na mpenzi wake Luis pamoja na mama yake mzazi.
Pia Wema Sepetu alionyesha gari lake jipya alilonunua aina ya Range Rover na kulitambulisha mbele ya watu waliohudhuria katika birthday party yake.
Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo.
10 years ago
Bongo Movies30 Apr
Aunt Ezekiel Awatega Team Wema, Kisa Ujumbe wa Zari-All White Party
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amewaacha njia panda mashabiki ‘kindaki ndaki’ wa Wema sepetu maarufu kama team Wema baada ya kuweka ‘screenshot’ ya ujumbe wa tangazo la pati ya mwanadada Zari inayofahamika kama Zari All While Party.
Aunt alibandika picha hiyo (hapo juu) na kuandika maneno haya kuonyesha kuwa mekelwa na ujumbe huo.
“Voda Voda hivi Voda mnantafuta nini lakini....ya kwanza nimenyamaz ya pili nimewajibu hamsikii hii ya tatu sasa Nawauliza Mnanitaka nini Au mmetumwa???Plz...