Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram
Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.
Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.
Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.
Mastaa wengine...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Jokate awa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1 Instagram

Jokate Mwegelo ameongezeka kwenye orodha ya mastaa wa Tanzania waliofikisha followers zaidi ya million moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Baaada ya Diamond Platnumz, Wema Sepetu na Millard Ayo sasa Jokate anakuwa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1.
Kupitia Instagram yake Jokate ameandika;
“Gmooorning. Kisses to all my ONE million followers on Instagram. Mabuthu buthu tele kwenu nyote kwa kufikia millioni mmoja kwenye page yangu. Usengwile. . #Kidoti”
Jiunge na...
9 years ago
Bongo524 Nov
Millard Ayo awa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni 1 Instagram

Mtangazaji wa nguvu Millard Ayo kutoka Clouds Fm, amekuwa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Hadi leo amefikisha 1,007,912.
Host huyo wa kipindi maarufu cha Amplifaya amekuwa wa tatu kufikisha idadi hiyo baada ya Wema Sepetu, ambaye alifikisha idadi hiyo mwezi huu wa Novemba. Mpaka sasa Wema amefikisha 1,077,859. Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi hiyo alikuwa Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ana 1,311,940.
Mastaa wengine ambao...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu!
Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa staa kutoka bongo flevani, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money. Najua pia mmekuwa mkimfuatilia Vanessa kwenye matukio yake mengi na kwa ajili ya upendo wenu mmeamua pia kuwa karibu naye kwenye Instagram ili chochote atakachokifanya kisikupite. Ukitembelea Instagram page ya Vee Money @VanessaMdee sasa hivi utakutana na […]
The post Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu! appeared first on...
9 years ago
Bongo518 Dec
Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper nao wafikisha followers milioni moja Instagram

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper wana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wao kwa kuwawezesha kufikisha wafuasi milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Hadi sasa Vanessa ana followers 1,011,699 huku Wolper akiwa na followers 1,030,784.
“Mashabiki ni mtaji, wasanii tunafanya kazi kwa ajili ya watu ndiyo maana nimefurahi kufikisha idadi hii ya mshabiki milioni moja kwenye Instagram, ni ishara nzuri kuwa kazi zangu zinakubalika,” alisema Vanessa.
Vee Money na Jacqueline...
10 years ago
Bongo519 Dec
Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
10 years ago
Bongo530 Oct
‘Hello’ ya Adele yawa video ya pili kuwahi kufikisha views milioni 100 ndani ya siku 5

10 years ago
Vijimambo27 Jan
Gazeti la Mtanzania: Kumradhi Wema Sepetu

10 years ago
CloudsFM28 Jan
Gazeti la Mtanzania lamuomba radhi Wema Sepetu
JANA kupitia 255 ya XXL ulisikia stori liyokuwa ikimuhusu Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu na aliyekuwa mpenzi wake Diamond ikilihusu gazeti la Mtanzania ambalo lilichapisha habari hiyo ikidai kuwa Wema alikuwa akimdai Diamond zaidi ya shs mill.10 ambayo aliikopa Vikoba.
Kupitia tovuti ya gazeti lao wamemuomba radhi Wema Sepetu kwa kuchapisha habari hiyo ambayo waliandika hivi:-
"Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No.7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika stori yenye kichwa cha...