Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram

11385131_915960011829242_1002926144_n

Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.

11385131_915960011829242_1002926144_n

Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.

Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.

Mastaa wengine...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Jokate awa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1 Instagram

kidoti2

Jokate Mwegelo ameongezeka kwenye orodha ya mastaa wa Tanzania waliofikisha followers zaidi ya million moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

kidoti

Baaada ya Diamond Platnumz, Wema Sepetu na Millard Ayo sasa Jokate anakuwa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1.

Jokate insta

Kupitia Instagram yake Jokate ameandika;

“Gmooorning. Kisses to all my ONE million followers on Instagram. Mabuthu buthu tele kwenu nyote kwa kufikia millioni mmoja kwenye page yangu. Usengwile. . #Kidoti”

Jiunge na...

 

9 years ago

Bongo5

Millard Ayo awa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni 1 Instagram

Millard-Ayo

Mtangazaji wa nguvu Millard Ayo kutoka Clouds Fm, amekuwa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Hadi leo amefikisha 1,007,912.

Millard-Ayo

Host huyo wa kipindi maarufu cha Amplifaya amekuwa wa tatu kufikisha idadi hiyo baada ya Wema Sepetu, ambaye alifikisha idadi hiyo mwezi huu wa Novemba. Mpaka sasa Wema amefikisha 1,077,859. Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi hiyo alikuwa Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ana 1,311,940.

ayo insta

Mastaa wengine ambao...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu!

Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa staa kutoka bongo flevani, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money. Najua pia mmekuwa mkimfuatilia Vanessa kwenye matukio yake mengi na kwa ajili ya upendo wenu mmeamua pia kuwa karibu naye kwenye Instagram ili chochote atakachokifanya kisikupite. Ukitembelea Instagram page ya Vee Money @VanessaMdee sasa hivi utakutana na […]

The post Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu! appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper nao wafikisha followers milioni moja Instagram

wolvee

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper wana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wao kwa kuwawezesha kufikisha wafuasi milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

wolvee

Hadi sasa Vanessa ana followers 1,011,699 huku Wolper akiwa na followers 1,030,784.

“Mashabiki ni mtaji, wasanii tunafanya kazi kwa ajili ya watu ndiyo maana nimefurahi kufikisha idadi hii ya mshabiki milioni moja kwenye Instagram, ni ishara nzuri kuwa kazi zangu zinakubalika,” alisema Vanessa.

vee n wolper insta

Vee Money na Jacqueline...

 

10 years ago

Bongo5

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi. Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi. “We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to […]

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

Bongo5

‘Hello’ ya Adele yawa video ya pili kuwahi kufikisha views milioni 100 ndani ya siku 5

Adele helloMwimbaji wa uingereza Adele anaendelea kuweka rekodi kupitia wimbo wake mpya ‘Hello’. Katika siku 5 tu za mwanzo toka video ya ‘Hello’ itoke, ilifanikiwa kutazamwa zaidi ya mara milioni 100, rekodi ambayo wanamuziki wengine huifikia baada ya miezi mingi baada ya kutoa video zao. Kwa rekodi hiyo, ‘Hello’ inakuwa ni video ya pili kuwahi kufikisha […]

 

10 years ago

Vijimambo

Gazeti la Mtanzania: Kumradhi Wema Sepetu

“Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No. 7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika kimakosa stori yenye kichwa cha habari ‘Wema Sepetu ampeleka Diamond Polisi’. Baada ya kufanya uchunguzi tumejiridhisha habari ile haikuwa na ukweli, kwani chanzo kilichotupatia kilitupotosha, hivyo kuleta usumbufu kwa msanii Wema pamoja na jamii. Kutokana na hali hiyo, tunapenda kumwomba radhi Wema na familia yake. Siku zote sisi MTANZANIA tumekuwa makini katika kusimamia misingi ya habari za...

 

10 years ago

CloudsFM

Gazeti la Mtanzania lamuomba radhi Wema Sepetu

JANA kupitia 255 ya XXL ulisikia stori liyokuwa ikimuhusu Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu na aliyekuwa mpenzi wake Diamond ikilihusu gazeti la Mtanzania ambalo lilichapisha habari hiyo ikidai kuwa Wema alikuwa akimdai Diamond zaidi ya shs mill.10 ambayo aliikopa Vikoba.Kupitia tovuti ya gazeti lao wamemuomba radhi Wema Sepetu kwa kuchapisha habari hiyo ambayo waliandika hivi:-

"Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No.7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika stori yenye kichwa cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani