Millard Ayo awa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni 1 Instagram
Mtangazaji wa nguvu Millard Ayo kutoka Clouds Fm, amekuwa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Hadi leo amefikisha 1,007,912.
Host huyo wa kipindi maarufu cha Amplifaya amekuwa wa tatu kufikisha idadi hiyo baada ya Wema Sepetu, ambaye alifikisha idadi hiyo mwezi huu wa Novemba. Mpaka sasa Wema amefikisha 1,077,859. Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi hiyo alikuwa Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ana 1,311,940.
Mastaa wengine ambao...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Jokate awa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1 Instagram
![kidoti2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kidoti2-300x194.jpg)
Jokate Mwegelo ameongezeka kwenye orodha ya mastaa wa Tanzania waliofikisha followers zaidi ya million moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Baaada ya Diamond Platnumz, Wema Sepetu na Millard Ayo sasa Jokate anakuwa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1.
Kupitia Instagram yake Jokate ameandika;
“Gmooorning. Kisses to all my ONE million followers on Instagram. Mabuthu buthu tele kwenu nyote kwa kufikia millioni mmoja kwenye page yangu. Usengwile. . #Kidoti”
Jiunge na...
9 years ago
Bongo504 Nov
Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram
![11385131_915960011829242_1002926144_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11385131_915960011829242_1002926144_n-300x194.jpg)
Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.
Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.
Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.
Mastaa wengine...
9 years ago
Bongo518 Dec
Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper nao wafikisha followers milioni moja Instagram
![wolvee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wolvee-300x194.jpg)
Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper wana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wao kwa kuwawezesha kufikisha wafuasi milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Hadi sasa Vanessa ana followers 1,011,699 huku Wolper akiwa na followers 1,030,784.
“Mashabiki ni mtaji, wasanii tunafanya kazi kwa ajili ya watu ndiyo maana nimefurahi kufikisha idadi hii ya mshabiki milioni moja kwenye Instagram, ni ishara nzuri kuwa kazi zangu zinakubalika,” alisema Vanessa.
Vee Money na Jacqueline...
10 years ago
Bongo519 Dec
Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Jokate Akanusha Kutoka na Millard Ayo!
Mwanamitindo na mwigizaji, Jokate Mwegelo ameucho molea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.
Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo mwanahabari wetu alipomtafuta Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.
“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.
Picha: Jokate akiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7gp-zXgL320/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DSJqMSMFyAhLh1Yys7Km8gP7Nf-N3RnA6kAuwZxq5JNghef0HI-L7eu96bmrlga*JxavW6llj9YixMcVNnDGYiu/DSC_00412.jpg?width=650)
MILLARD AYO ATEMBELEA GLOBAL JANA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/yr6iZPKMSxI/default.jpg)