Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Millard Ayo awa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni 1 Instagram

Millard-Ayo

Mtangazaji wa nguvu Millard Ayo kutoka Clouds Fm, amekuwa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Hadi leo amefikisha 1,007,912.

Millard-Ayo

Host huyo wa kipindi maarufu cha Amplifaya amekuwa wa tatu kufikisha idadi hiyo baada ya Wema Sepetu, ambaye alifikisha idadi hiyo mwezi huu wa Novemba. Mpaka sasa Wema amefikisha 1,077,859. Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi hiyo alikuwa Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ana 1,311,940.

ayo insta

Mastaa wengine ambao...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Jokate awa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1 Instagram

kidoti2

Jokate Mwegelo ameongezeka kwenye orodha ya mastaa wa Tanzania waliofikisha followers zaidi ya million moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

kidoti

Baaada ya Diamond Platnumz, Wema Sepetu na Millard Ayo sasa Jokate anakuwa Mtanzania wa nne kufikisha followers milioni 1.

Jokate insta

Kupitia Instagram yake Jokate ameandika;

“Gmooorning. Kisses to all my ONE million followers on Instagram. Mabuthu buthu tele kwenu nyote kwa kufikia millioni mmoja kwenye page yangu. Usengwile. . #Kidoti”

Jiunge na...

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram

11385131_915960011829242_1002926144_n

Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.

11385131_915960011829242_1002926144_n

Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.

Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.

Mastaa wengine...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper nao wafikisha followers milioni moja Instagram

wolvee

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper wana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wao kwa kuwawezesha kufikisha wafuasi milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

wolvee

Hadi sasa Vanessa ana followers 1,011,699 huku Wolper akiwa na followers 1,030,784.

“Mashabiki ni mtaji, wasanii tunafanya kazi kwa ajili ya watu ndiyo maana nimefurahi kufikisha idadi hii ya mshabiki milioni moja kwenye Instagram, ni ishara nzuri kuwa kazi zangu zinakubalika,” alisema Vanessa.

vee n wolper insta

Vee Money na Jacqueline...

 

10 years ago

Bongo5

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi. Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi. “We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate Akanusha Kutoka na Millard Ayo!

Mwanamitindo na mwigizaji, Jokate Mwegelo ameucho molea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.

Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo mwanahabari wetu alipomtafuta Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.

“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.

Picha: Jokate akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MILLARD AYO ATEMBELEA GLOBAL JANA

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo (mwenye kofia) akielezwa jambo na Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kushoto) alopotembelea Global Publishers jana. Aliyekaa ni msanifu kurasa, Shafii Hashim. Mhariri wa Risasi Jumamosi, Erick Evarist (kulia) akimfafanulia jambo na Millard Ayo (kushoto) na Saleh Ally (katikati).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani