Ernest Napoleon on air with Millard Ayo
![](http://img.youtube.com/vi/7gp-zXgL320/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Dec
Audio: Chill na Sky – With Ernest Napoleon (Going Bongo)
![10575965_514928895331026_2072635263_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10575965_514928895331026_2072635263_n-300x194.jpg)
Sikiliza kipindi cha Chill na Sky kikiwa na muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Ernest Napoleon: Hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii
NA FESTO POLEA
MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.
Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.
“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s72-c/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
Sikiliza Audio ya Mahojiano na Ernest Napoleon, Muigizaji wa filamu ya ‘Going Bongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s1600/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zknhA4ik6bE/VHK-RXBzKKI/AAAAAAAAPik/nusuVzL6W8Q/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
9 years ago
Bongo517 Dec
Filamu za Bongo hazitakufa, mfumo utabadilika – Ernest Napoleon (Video)
![11820519_180167015648391_1962079100_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11820519_180167015648391_1962079100_n-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema licha ya wasanii wa filamu Tanzania kuwa na wasiwasi kuwa kiwanda chao kinakufa, anaamini kitaendelea kuwepo na kitabadilika.
Amesema kile kinachoweza kufa ni mfumo wa filamu uliopo kwa sasa ambao anaamini unaenda kufikia kikomo.
“Bongo movie haitakufa sababu bado inatengeneza movie nyingi sana, bado ina mashabiki wengi sana, ina mastaa, ina watu wenye vipaji,” amesema.
“Kama biashara yoyote itafanya restructuring, watu wengine...
10 years ago
Bongo501 Sep
Picha: Ernest Napoleon (Going Bongo) akutana na Forest Whitaker (The Last King of Scotland)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DSJqMSMFyAhLh1Yys7Km8gP7Nf-N3RnA6kAuwZxq5JNghef0HI-L7eu96bmrlga*JxavW6llj9YixMcVNnDGYiu/DSC_00412.jpg?width=650)
MILLARD AYO ATEMBELEA GLOBAL JANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmWsX8eWFUkvErcjPwliyAUFdn2TTQexDapN1bTJs16Yluo2YRoXthh*udaxuMw3MT0PvwmgnGTjKOvHleo13lI/millard.jpg)
MILLARD AYO AWAPIGA CHINI MASTAA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/yr6iZPKMSxI/default.jpg)