Hackers waigeuza akaunti ya Instagram ya Fid Q kuwa ya Wema Sepetu!
Kama unaitafuta akaunti ya Instagram ya Fid Q kuanzia jana bila mafanikio basi fahamu kuwa hackers wameitaifisha, kufuta picha zake zote na kuigeuza kuwa ya Wema Sepetu. Akaunti hiyo ina followers zaidi 160,000. “Account hii imekuwa hacked jana usiku ila mimi nimegundua leo asubuhi,” Fid ameiambia Clouds FM. “Niligundua baada ya kuingia katika account ikawa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s72-c/0.1JEMBE18.jpg)
WEMA SEPETU NA PICHA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s640/0.1JEMBE18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-spkNfeGD3NA/VUeGU6_ePVI/AAAAAAABNgo/y9EZYBWx5GE/s640/0.1JEMBE17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pwMbOqLT-Is/VUeGcFsDmnI/AAAAAAABNg4/_O_yxTEjUsE/s640/0.1JEMBE2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kOIQVMWAipo/VUeGchXC6xI/AAAAAAABNg8/dvD4-5MdaPM/s640/0.1JEMBE3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjoglUD_wIU/VUeGfnDhB1I/AAAAAAABNhI/vehtZagNwTc/s640/0.1JEMBE10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EIWQ_Pdi094/VUeGi_0JEwI/AAAAAAABNhY/WqOaBt_sABw/s640/0.1JEMBE9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KEKAtyJgN4I/VUeGjtGTR1I/AAAAAAABNhc/5-FqsdPdjUM/s640/0.1JEMBE4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PO4F3Ze58kk/VUeGkA3PChI/AAAAAAABNhk/9OHfjRz1qZ4/s640/0.1JEMBE5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53unzV3nq4U/VUeGk1Gf1_I/AAAAAAABNho/RTWEryQ6t58/s640/0.1JEMBE6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7INJeHmtLBw/VUeIZ67CJmI/AAAAAAABNh8/tpdzzc3beIw/s640/0.1JEMBE11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-glABXA27XNQ/VUeIcg9KASI/AAAAAAABNiE/sEp2OH2jwpA/s640/0.1JEMBE15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a6aupD2dRig/VUeIeey1qiI/AAAAAAABNiM/ofpdB5L1N8o/s640/0.1JEMBE8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g-YJJeEXYQ4/VUeIxUiSONI/AAAAAAABNi0/ilfLlTETlOc/s640/0.1JEMBE14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eVdpY-wdQ_k/VUeIjq6BS6I/AAAAAAABNic/GKFILVpYmKw/s640/0.1JEMBE7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncDCf_MoL6Q/VUeInYrlCUI/AAAAAAABNik/z45nzqc74AQ/s640/0.1JEMBE16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXAJH3AQUJo/VUeIg4KcusI/AAAAAAABNiU/IwE6ArlcfQY/s640/0.1JEMBE1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qFrA9_bsz3k/VUeIrmOwW_I/AAAAAAABNis/6X1DQSLNcT8/s640/0.1JEMBE20.jpg)
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Wema Sepetu Awashukia Waandaaji wa Instagram Party, Kisa Malipo ya Mzee Majuto
Staa wa Bongo Movies Wema Sepetu ameamaua kuwachana wazi wazi waandaaji wa Instagram Party kwa kitendo chao cha kutomlipa pesa hadi sasa hivi staa mwenzake Mzee Majuto.
Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli. Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza. Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel...
9 years ago
Bongo504 Nov
Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram
![11385131_915960011829242_1002926144_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11385131_915960011829242_1002926144_n-300x194.jpg)
Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.
Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.
Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.
Mastaa wengine...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s72-c/lulu-pic.jpg)
LULU AFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM KUFUATIA KIFO CHA MTU ALIYEDAIWA KUWA MPENZI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s1600/lulu-pic.jpg)
Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram
Dec 27 mashabiki wa Diamond Platnumz walipost video ya msanii wa Bongo Movies, Wema Sepetu katika mtandao wa instagam ambayo ikionesha akiimba wimbo wa Diamond uitwao ‘Utanipenda’. Baada ya kusambaa kwa video hiyo yenye dakika 15 Wema akuchukua muda kuwajibu mashabiki hao na kuandika’Mwenzangu niache na kisauti changu ila swali la kizushi kwa hao wanaojiita […]
The post Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu!
Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa staa kutoka bongo flevani, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money. Najua pia mmekuwa mkimfuatilia Vanessa kwenye matukio yake mengi na kwa ajili ya upendo wenu mmeamua pia kuwa karibu naye kwenye Instagram ili chochote atakachokifanya kisikupite. Ukitembelea Instagram page ya Vee Money @VanessaMdee sasa hivi utakutana na […]
The post Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu! appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--5yCKWG5y2c/VbUz8NiJhtI/AAAAAAABSvM/VD5gZd0IfP0/s72-c/WEMA%2BSEPETU.jpg)
NDOTO YA WEMA SEPETU KUWA MBUNGE YAYEYUKA
![](http://3.bp.blogspot.com/--5yCKWG5y2c/VbUz8NiJhtI/AAAAAAABSvM/VD5gZd0IfP0/s640/WEMA%2BSEPETU.jpg)
Hiyo ni baada ya kushindwa kuwashawishi wanachama wa CCM mkoani mkoani Singida kumpa dhamana ya kuwawakilisha kwenye viti maalum vya ubunge.Wema ameshindwa kupita kwenye kura za maoni za ubunge huo kwa kupata kura 90 tu. Aliyeongoza kwenye kinyang’anyiro hicho ni Aysharose Mattembe (311), Martha Mlata (235) na Diana Chilolo (182).Wema amekubali kushindwa na kudai kuwa ushiriki wake umempa ujasiri zaidi.“Nilivyoamua...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...