Picha: Birthday Party ya Wema Sepetu Jana Usiku
Usiku wa jana, Novemba 1 staa wa Bongo Movies , Wema sepetu aliangusha pomba la pati ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa ambapo mastaa wengi wa hapa bongo walikuwepo akiwepo na mpenzi wake Luis pamoja na mama yake mzazi.
Pia Wema Sepetu alionyesha gari lake jipya alilonunua aina ya Range Rover na kulitambulisha mbele ya watu waliohudhuria katika birthday party yake.
Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Sep
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
PICHA: Birthday Party ya Butuli Iliyofanyika Hoteli ya Kempisk Hapo Jana
Hizi ni baadhi ya picha za mrembo na mwigizaji wa filamu Yobnesh Yussuph ‘Butuli’ aliposherekea siku yake ya kuzaliwa katika hoteli ya Hyatt Regency Kempisk hapo jana.
Sherehe hiyo ilihudhuliwa na baadhi ya watu wake wa karibu wakiwemo waigizaji wenzake, mbali na kufanya sherehe hiyo mapema siku ya jana Butuli aliwatembea watoto wanaoisha kwenye mazingira magumu.
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Picha: Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala
Zari ambaye ni mpenzi wa Diamond Platinumz ndiye muhusika mkuu wa party hii ambapo watu maarufu wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.
![Zari All White Ciroc Party](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI345.jpg)
Zari All White Ciroc Party
![ZARI8912](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI8912.jpg)
![ZARI834](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI834.jpg)
![ZARI234](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI234.jpg)
![ZARI734](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI734.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s72-c/0.1JEMBE18.jpg)
WEMA SEPETU NA PICHA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNvD2CVrpds/VUeGWGdfJMI/AAAAAAABNgs/njBbpki5ROo/s640/0.1JEMBE18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-spkNfeGD3NA/VUeGU6_ePVI/AAAAAAABNgo/y9EZYBWx5GE/s640/0.1JEMBE17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pwMbOqLT-Is/VUeGcFsDmnI/AAAAAAABNg4/_O_yxTEjUsE/s640/0.1JEMBE2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kOIQVMWAipo/VUeGchXC6xI/AAAAAAABNg8/dvD4-5MdaPM/s640/0.1JEMBE3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjoglUD_wIU/VUeGfnDhB1I/AAAAAAABNhI/vehtZagNwTc/s640/0.1JEMBE10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EIWQ_Pdi094/VUeGi_0JEwI/AAAAAAABNhY/WqOaBt_sABw/s640/0.1JEMBE9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KEKAtyJgN4I/VUeGjtGTR1I/AAAAAAABNhc/5-FqsdPdjUM/s640/0.1JEMBE4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PO4F3Ze58kk/VUeGkA3PChI/AAAAAAABNhk/9OHfjRz1qZ4/s640/0.1JEMBE5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53unzV3nq4U/VUeGk1Gf1_I/AAAAAAABNho/RTWEryQ6t58/s640/0.1JEMBE6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7INJeHmtLBw/VUeIZ67CJmI/AAAAAAABNh8/tpdzzc3beIw/s640/0.1JEMBE11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-glABXA27XNQ/VUeIcg9KASI/AAAAAAABNiE/sEp2OH2jwpA/s640/0.1JEMBE15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a6aupD2dRig/VUeIeey1qiI/AAAAAAABNiM/ofpdB5L1N8o/s640/0.1JEMBE8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g-YJJeEXYQ4/VUeIxUiSONI/AAAAAAABNi0/ilfLlTETlOc/s640/0.1JEMBE14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eVdpY-wdQ_k/VUeIjq6BS6I/AAAAAAABNic/GKFILVpYmKw/s640/0.1JEMBE7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncDCf_MoL6Q/VUeInYrlCUI/AAAAAAABNik/z45nzqc74AQ/s640/0.1JEMBE16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXAJH3AQUJo/VUeIg4KcusI/AAAAAAABNiU/IwE6ArlcfQY/s640/0.1JEMBE1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qFrA9_bsz3k/VUeIrmOwW_I/AAAAAAABNis/6X1DQSLNcT8/s640/0.1JEMBE20.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji mvinyo na vinywaji vikali kikiwemo kinywaji cha Jack Daniel’s akitoa maelezo ya kinywaji cha Jack Daniel’s kwa mashabiki wa Skylight Band waliokuwa wakikaribishwa na SHOT za Mr. Jack’s kwenye usiku maalum wa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s.
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel’s akizungumza na mashabiki wa Skylight Band kuhusina na...
10 years ago
Bongo Movies29 Sep
Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday
Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.
Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.
“Nlitama nikupe vingi, wenda...
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.
Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.
Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
10 years ago
CloudsFM03 Oct