PICHA:BIRTHDAY YA DIAMOND JANA
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Oct
10 years ago
Bongo Movies03 Oct
10 years ago
Bongo Movies29 Sep
Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday
Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.
Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.
“Nlitama nikupe vingi, wenda...
9 years ago
Bongo Movies02 Nov
Picha: Birthday Party ya Wema Sepetu Jana Usiku
Usiku wa jana, Novemba 1 staa wa Bongo Movies , Wema sepetu aliangusha pomba la pati ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa ambapo mastaa wengi wa hapa bongo walikuwepo akiwepo na mpenzi wake Luis pamoja na mama yake mzazi.
Pia Wema Sepetu alionyesha gari lake jipya alilonunua aina ya Range Rover na kulitambulisha mbele ya watu waliohudhuria katika birthday party yake.
Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo.
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
PICHA: Birthday Party ya Butuli Iliyofanyika Hoteli ya Kempisk Hapo Jana
Hizi ni baadhi ya picha za mrembo na mwigizaji wa filamu Yobnesh Yussuph ‘Butuli’ aliposherekea siku yake ya kuzaliwa katika hoteli ya Hyatt Regency Kempisk hapo jana.
Sherehe hiyo ilihudhuliwa na baadhi ya watu wake wa karibu wakiwemo waigizaji wenzake, mbali na kufanya sherehe hiyo mapema siku ya jana Butuli aliwatembea watoto wanaoisha kwenye mazingira magumu.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-KNtT7xr1_bA/U2TFkaCOggI/AAAAAAACjZE/3FWA77Ftw_g/s1600/Screen+Shot+2014-05-03+at+11.30.23.png)
10 years ago
CloudsFM03 Dec
Picha: Diamond akizungumza na waandishi wa habari jana Escape One baada ya kutua nchini
Mshindi wa tuzo tatu za Channel O,staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akizungumza na waandishi wa habari jana,Escape One,Mikocheni,jijini Dar baada ya kutua kutoka nchini Afrika Kusini.
Mmoja wa mameneja wa Diamond,Mkubwa Fella akizungumza na waandishi wa habari na mashabiki waliofika kumpokea Diamond akitokea nchini Afrika Kusini kwenye tuzo za Channel O.
10 years ago
CloudsFM30 Sep
9 years ago
Bongo505 Jan
Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’
![h n d](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/h-n-d-300x194.jpg)
Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.
Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:
“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...