Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’

h n d

Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.

h n d

Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:

Harmonize tattoo

“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)

Couple ya Shilole na Nuh Mziwanda sasa ni ngoma droo upande wa kuchora Tattoo za majina yao kwenye miili yao. Nuh ndiye aliyeanza kuchora tattoo kwenye mikono yake yote miwili. Tattoo ya kwanza ilikuwa ya jina la Shishi Bybee, na baadaye alikuja kuongeza Tattoo ya pili yenye sura ya Shishi. Mpenzi wake Shilole naye ameamua […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Blac Chyna athibitisha kuwa na uhusiano na Future? Achora tattoo ya jina la rapper huyo mkononi

Kumekuwepo na tetesi kuwa mama wa mtoto wa rapper Tyga, Blac Chyna ameingia kwenye ukurasa mpya wa mapenzi na rapper Future ambaye pia ni baba wa mtoto wa mwimbaji wa RnB, Ciara ambaye waliachana. Blac Chyna ameziongezea nguvu tetesi hizo baada ya kuchora tattoo yenye jina la ‘Future’ kwenye mkono wake na kushare picha hiyo […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Diamond na Zari the Boss Lady wafanya kweli!

Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana. Ni movie inaendelea? Diamond na Zari Picha za wawili hao wakiwa nje ya hoteli ya Double Tree jijini Dar zinawaonesha wakifurahia muda wa faragha pamoja […]

 

10 years ago

Vijimambo

BIG BOSS LADY ZARI AWEKA PICHA AKIWA NA MAMA YAKE PAMOJA NA MDOGO WAKE

Mdogo wake Zari nae ni Ng'ari Ng'ari hile full package kiroho safi.Mama wa Zari na Mdogo wake mama anaonekana kama kidogo afya siyo yenyewe labda utu uzima.Zari na kitu cha black mwilini hapa kabla ya vimarekani vya mimba kuchumoza.She is my Queen, my old sun aka Mama Zarinah Hassan Nasur!!!!

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: TAZAMA PICHA ZA ZINEDINE ZIDANE ENZI ZA UTOTO/UJANA WAKE

2Zinedine Zidane a.k.a Zizou amezaliwa June 23 mwaka 1972 na hadi leo amefikisha miaka 43. Zidane ameoa mwaka 1994 mke wake anaitwa Veronique Zidane. Hadi leo wana watoto wanne ambao ni Enzo Fernandez, Theo Zidane, Elyaz Zidane, Luca Zidane.Happy Birthday To Fundi Zizou.
13
enzokombezizi

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura

Ukiachilia mbali Diamond Platnumz wa Tanzania na rapper AKA wa Afrika Kusini, Davido ni staa mwingine wa Afrika aliyepata mtoto hivi karibuni na anajivunia kuwa BABA. Davido na mama wa mwanaye Davido ambaye ni miezi mitatu imepita toka apate mtoto wa kike, amekuwa akishare na followers wake picha za mwanaye, ikiashiria kuwa ni jinsi gani […]

 

10 years ago

Bongo5

M2 The P achora tattoo mpya ya Mangwea, asema amefunga ukurasa wa kumzungumzia

Rapper M2 The P amechora tattoo mpya ya rafiki yake marehemu Albert Mangwea, na kudai kuwa tattoo hiyo ni ishara ya kufunga ukurasa wa kumzungumzia baada ya kumweka mwilini mwake. Akizungumza na Bongo5, M2 The P amesema aliwaahidi mashabiki kuwa atachora tattoo ya rafiki yake huyo ili abaki mwilini mwake milele. “Tatoo ni deni, kwa […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha Hii ya Diamond na Mtoto wake Tiffah Yawa Gumzo

Picha hii ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akiwa amem-kiss mtoto wake Tiffah yazua mjadala kwenye mtandao wa instagram.

diamond33
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable😍
Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi kuwekwa mtandaoni huku wengine wakionekana kuona ipo sawa na inaonyesha ni kwajinsi gani Diamond anavyompenda motto wake...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyowaacha hoi wakazi wa Dodoma

Mkali wa hit singo ya ‘Aiyola‘ kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) Harmonize usiku wa Dec 31 aliidondosha burudani kwa wakazi wa Dodoma kwa mara ya kwanza tangu ametambulika na mashabiki katika soko la muziki. Licha ya kufanya bonge la show, pia alitumia nafasi hiyo kutoa baadhi ya zawadi kwa wapenzi na mashabiki wake ambao walifika katika […]

The post Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyowaacha hoi wakazi wa Dodoma appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani