Picha: Diamond na Zari the Boss Lady wafanya kweli!
Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana. Ni movie inaendelea? Diamond na Zari Picha za wawili hao wakiwa nje ya hoteli ya Double Tree jijini Dar zinawaonesha wakifurahia muda wa faragha pamoja […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBIG BOSS LADY ZARI AWEKA PICHA AKIWA NA MAMA YAKE PAMOJA NA MDOGO WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-22308T7_JHQ/VGDpQmv_2RI/AAAAAAAAfJI/DFl-pLNOf1I/s72-c/mkono%2525252Bna%2525252Bpaja.jpg)
KIMENUKA INSTAGRAM LEO, TEAM WEMA WACHARUKA, WAMWEKA MTU KATI DIAMOND BAADA YA TETESI ZA KUTOKA NA ZARI THE LADY BOSS
![](http://lh6.ggpht.com/-22308T7_JHQ/VGDpQmv_2RI/AAAAAAAAfJI/DFl-pLNOf1I/s640/mkono%2525252Bna%2525252Bpaja.jpg)
mfano JOKATE ukisema mnashot video sawa lkn matokeo yake unashot hadi behind de scene, penny...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SIUx-DKBi2g/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-L4M9HY2Ss0U/Vic0IX-TywI/AAAAAAABF1w/SbDT0acQlPU/s72-c/ZARIIIO.jpg)
FAMILIA YA DIAAMOND PLATINUMS WAMMWAGA RASMI ZARI THE BOSS LADY
![](http://api.ning.com/files/BybgAqvu3On9fWBJY0ZQIClEiRHqCOjQGNqsD0DpjMI*NwKgBAZ5HiNTIstMwUfZdHgiHJrMGpwUuf1vVpKfseefH9-0WccG/mond.jpg)
Sasa ni wazi kuwa familia ya staa mkubwa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnamz’ imemtema rasmi mzazi mwenzake Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwa kile wanachodai …. “Tumechoshwa na uzungu wake”, Risasi Mchanganyiko linaweza kuandikaChanzo kilicho karibu na familia hiyo kililiambia gazeti hili kuwa kina taarifa kuwa mama Latiffa ‘Tiffah’ hatarejea tena nchini kutokana na kushindwana na wanafamilia, kwani wanaendekeza uswahili, kitu ambacho yeye hakiwezi.“Familia...
10 years ago
Vijimambo13 Nov
10 years ago
GPL12 Nov
9 years ago
Bongo505 Jan
Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’
![h n d](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/h-n-d-300x194.jpg)
Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.
Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:
“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Diamond, Sauti Soul wafanya kweli Mauritius
NA MWANDISHI WETU
MKALI wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platinumz’ na wakali wa Afro Pop kutoka Kenya wanaounda kundi la Sauti Sol, wamefanya onyesho kabambe katika hitimisho la Tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza, lililofanyika visiwa vya Mauritius.
Onyesho hilo lililofanyika katika hitimisho la wiki ya furaha, burudani na mafanikio makubwa kwa Kampuni ya MultiChoice Africa, liliwakutanisha waandishi zaidi ya 90 kutoka kote Afrika, wasanii mashuhuri na...