Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZARI A.K.A "The Boss Lady": SIKU ALIPOFUNGUKA KUHUSU KUACHANA NA MUMEWE!

CREDITS: THE SPORAH  SHOW

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Diamond na Zari the Boss Lady wafanya kweli!

Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana. Ni movie inaendelea? Diamond na Zari Picha za wawili hao wakiwa nje ya hoteli ya Double Tree jijini Dar zinawaonesha wakifurahia muda wa faragha pamoja […]

 

10 years ago

Vijimambo

FAMILIA YA DIAAMOND PLATINUMS WAMMWAGA RASMI ZARI THE BOSS LADY


Sasa ni wazi kuwa familia ya staa mkubwa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnamz’ imemtema rasmi mzazi mwenzake Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwa kile wanachodai …. “Tumechoshwa na uzungu wake”, Risasi Mchanganyiko linaweza kuandikaChanzo kilicho karibu na familia hiyo kililiambia gazeti hili kuwa kina taarifa kuwa mama Latiffa ‘Tiffah’ hatarejea tena nchini kutokana na kushindwana na wanafamilia, kwani wanaendekeza uswahili, kitu ambacho yeye hakiwezi.“Familia...

 

10 years ago

Vijimambo

BIG BOSS LADY ZARI AWEKA PICHA AKIWA NA MAMA YAKE PAMOJA NA MDOGO WAKE

Mdogo wake Zari nae ni Ng'ari Ng'ari hile full package kiroho safi.Mama wa Zari na Mdogo wake mama anaonekana kama kidogo afya siyo yenyewe labda utu uzima.Zari na kitu cha black mwilini hapa kabla ya vimarekani vya mimba kuchumoza.She is my Queen, my old sun aka Mama Zarinah Hassan Nasur!!!!

 

10 years ago

Vijimambo

KIMENUKA INSTAGRAM LEO, TEAM WEMA WACHARUKA, WAMWEKA MTU KATI DIAMOND BAADA YA TETESI ZA KUTOKA NA ZARI THE LADY BOSS

Kinara wa Team Wema Dougiemasta15 huku instagram amefunguka haya kuhusu Diamond: kiroho safi kaka shemej wala hatugombani..ujue dai ss sote ni waafrica ndio wepesi kuja na conclusion na tunaudhaifu wa kuchunguza ujue shemej wengi tunataman kuamin kuwa hii ni project na surely we will b so proud ila shemej kinamna flan ww huaminiki huwa unakuwa na project nying sana lkn zinaend up kuwa coming soon...

mfano JOKATE ukisema mnashot video sawa lkn matokeo yake unashot hadi behind de scene, penny...

 

9 years ago

Global Publishers

Kikaangoni Leo… Halima Yahya ‘Davina’ Agoma kutoa siri ya kuachana na mumewe

Davina_1.jpgNI siku nyingine tena kwenye kolamu hii inayowakutanisha na mastaa mbalimbali Bongo na kufunguka mambo kadha wa kadha katika jamii inayowazunguka, kuhusiana na maisha yao kiujumla.

Leo katika kona hii, tunaye msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ambaye amefunguka maswali mengi kama ifuatavyo;

Msomaji: Hadi sasa sijapata jibu ni kitu gani hasa kilichokufanya uachane na mumeo, hujui ndoa ni kitu cha kujivunia?

Davina: Hili suala la kuachana na mume wangu ni siri nzito ambayo tunaijua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani