Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikaangoni Leo… Halima Yahya ‘Davina’ Agoma kutoa siri ya kuachana na mumewe

Davina_1.jpgNI siku nyingine tena kwenye kolamu hii inayowakutanisha na mastaa mbalimbali Bongo na kufunguka mambo kadha wa kadha katika jamii inayowazunguka, kuhusiana na maisha yao kiujumla.

Leo katika kona hii, tunaye msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ambaye amefunguka maswali mengi kama ifuatavyo;

Msomaji: Hadi sasa sijapata jibu ni kitu gani hasa kilichokufanya uachane na mumeo, hujui ndoa ni kitu cha kujivunia?

Davina: Hili suala la kuachana na mume wangu ni siri nzito ambayo tunaijua...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Mumewe Flora Mbasha ajitokeza, afichua siri

>Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumbaka shemeji yake mwenye umri wa miaka 17.

 

10 years ago

Habarileo

Ammwagia mumewe maji ya moto usoni, sehemu za siri

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda MKAZI wa Kitongoji cha Mfinzi kijiji cha Chala wilayani Nkasi, Zelena Kiozya (55) anadaiwa kumuua mumewe Evod Teola (62) kwa kummwagia maji ya moto mwilini mwake.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa ajiandaa kutoa siri nzito

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana hakuhudhuria mkutano wa kampeni za ubunge mjini Arusha kwa maelezo kuwa anajiandaa kutoa tamko kuhusu hali ya kisiasa visiwani Zanzibar.

 

11 years ago

BBCSwahili

Morsi ashtakiwa kwa kutoa siri za Misri

Mkuu wa mashtaka nchini Misri amemfungulia mashtaka Mohammed Morsi kwa kutoa stakhabadhi za siri za taifa hilo kwa Qatar.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE,MWANAUME, NANI ANAONGOZA KUTOA SIRI ZA UHUSIANO?

NIJumanne tena, safu hii ya maisha na mapenzi ipo kukuelimisha na kukupa maujuzi ili ikibidi siku moja msomaji wangu ubadilike. Wiki iliyopita tulimalizia mada yetu ya; Unaachana naye unachukua kila kitu ulichomnunulia. Wiki hii tuna mada nyingine ndiyo hiyo hapo juu; mwanamke na mwanaume katika uhusiano nani anaongoza kwa kutoa siri nje? Au kufanya umbeya.
Nilibahatika kuzungumza na jinsia zote kuhusu mada yetu wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakibinga aruka kimanga kutoa siri za TFF kwa Ndumbaro

Ofisa Mtendaji wa Bodi ya Ligi (TPLB), Silas Mwakibinga ameondolewa kwenye wadhifa wake huo.

 

11 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Macho yote CCM kwa Warioba leo 

MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani