Picha Hii ya Diamond na Mtoto wake Tiffah Yawa Gumzo
Picha hii ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akiwa amem-kiss mtoto wake Tiffah yazua mjadala kwenye mtandao wa instagram.
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable”
Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi kuwekwa mtandaoni huku wengine wakionekana kuona ipo sawa na inaonyesha ni kwajinsi gani Diamond anavyompenda motto wake...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GTOo81dG39I/XkT2SwG8H6I/AAAAAAAAuys/7gtiK_pvDmUvwdffhpDBDv5cKb_uW17awCLcBGAsYHQ/s72-c/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
MUONEKANO WA PICHA MLIMA KILIMANJARO ILIYOPIGWA NA DKT. JAKAYA KIKWETE YAWA GUMZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GTOo81dG39I/XkT2SwG8H6I/AAAAAAAAuys/7gtiK_pvDmUvwdffhpDBDv5cKb_uW17awCLcBGAsYHQ/s640/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
Dkt. Kikwete amesema kuwa picha hiyo ameipiga wakati akiwa njiani akitokea Nairobi kwenda Dar es Salaam, saa chache baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili nchini Kenya, Daniel Arap Moi.
10 years ago
Vijimambo9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dU2ULZdzz-jV5KI3PnZes4d81IXEz9TOCxTxPFbRjxeFkKra5BtmnYUix90oSsoyNqhsiP8OvOSK2JvitavY9dl/FRONTRISASIJMOSI.gif?width=650)
TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND
Mwandishi wetu Kazi ipo! Siku chache baada ya kuliona jua, mtoto wa kike ‘baby girl’ wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah a.k.a Princess Tiffah anazidi kuwa gumzo. ...Soma zaidi===>http://goo.gl/VD59sx
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A0HnV7K6r0M/VcXE_XA49vI/AAAAAAAAXTQ/guYeKpgKPE0/s72-c/diamond.jpg)
9 years ago
Bongo505 Oct
Video: Tazama 40 ya mtoto wa Diamond na Zari (Tiffah’s 40) Part 1
Mtoto wa Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari, Latiffah alioneshwa sura yake kwa mara ya kwanza Jumapili ya September 20,2015 ambapo pia ilifanyika hafla ya kufikisha siku arobaini tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo. Halfa hiyo iliyofanyika kwenye makazi ya Diamond aliyoyabatiza kama ‘State House’ ilirushwa kupitia Clouds TV kwenye kipindi maalum (Tiffah’s 40), kilichoonesha siku […]
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YKlX7Itxquljpl8u4wD0hut9p7RIra7Sh4Qp*gEUlPZBDIoCyoai5sfaBVRmhVniMKdcdrFrYp143HdhBk37U6MqFSi9okY0/diamond.gif)
DIAMOND, MTOTO WAZUA GUMZO
Mwandishi wetu GUMZO! Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtoto wa dada yake Esma, Taraj wamezua gumzo la aina yake baada picha yao kutupiwa mtandaoni na watu kudhani ni yule Tiffah wa Diamond ambaye hajawahi kuonekana sura. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Esma kuiweka picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala kitandani na Tahaj ndipo watu walipofikiri ni ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Egf9zNTG8Y8oQToQgcDByx*6Iaw77Ajr-qp0JRIpWzRawOPIfLe0VihctkRhIcZHB88-*VacPyMP6n9eo0Y9L-P/Diamond.jpg?width=650)
PICHA YA DIAMOND AKILA MISHIKAKI GUMZO
Stori: Musa Mateja
PICHA ya staa wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ inayomuonesha akila mishikika uswahilini imezua gumzo la aina yake mitandaoni. Staa wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akila mishikika uswahilini. Picha hiyo ambayo ilipigwa mwaka mmoja uliopita maeneo ya Tip Top, Manzese jijini Dar, imeibua mjadala mpya juzikati kwenye mitandao ya kijamii ambapo wengine walimpongeza kwa kitendo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania