M2 The P achora tattoo mpya ya Mangwea, asema amefunga ukurasa wa kumzungumzia
Rapper M2 The P amechora tattoo mpya ya rafiki yake marehemu Albert Mangwea, na kudai kuwa tattoo hiyo ni ishara ya kufunga ukurasa wa kumzungumzia baada ya kumweka mwilini mwake. Akizungumza na Bongo5, M2 The P amesema aliwaahidi mashabiki kuwa atachora tattoo ya rafiki yake huyo ili abaki mwilini mwake milele. “Tatoo ni deni, kwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Sep
Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)
9 years ago
Bongo526 Oct
Picha: Blac Chyna athibitisha kuwa na uhusiano na Future? Achora tattoo ya jina la rapper huyo mkononi
9 years ago
Bongo505 Jan
Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’
![h n d](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/h-n-d-300x194.jpg)
Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.
Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:
“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...
9 years ago
Bongo524 Nov
Nikki Wa Pili asema hapendi michoro ya tattoo kwa sababu ni fasheni itakayopotea
![Nikki tattoo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nikki-tattoo-300x194.jpg)
Rapper wa kundi la Weusi, Nickson Simon maarufu kama Nikki Wa Pili amesema michoro ya tattoo wanayojichora watu wengi maarufu ni fasheni, hivyo ipo siku itapita na kuonekana haina maana tena, ndiyo maana yeye haipendi.
Akizungumza na MTANZANIA, Nikki alisema kuwa sifa moja ya fasheni ni kuvuma na kupotea, hivyo ana hofu ya kuchora tattoo kwa kuwa itafika kipindi michoro hiyo itakuwa siyo ujanja tena.
“Ile ni fasheni, watu wanachora na wanapendeza, lakini hawajui kuwa sifa kubwa ya fasheni...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
‘Selfie’ zafungua ukurasa mpya wa ulimwengu wa simu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp21mlChlFntvYxXOkP9K6bcJHXhJVbUV1yIuu4wkBSZJjFSnAnkYVYTm6dUj2lObVN*6JtNVKmNXQJuVPLUjHQAM/10525509_762249757169093_1985985171_n.jpg)
TATTOO MPYA YA WEMA SEPETU
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani
10 years ago
Bongo Movies10 Jul
Leo Ikiwa Ni 40 ya Mtoto Wake, Aunt Ezekiel Aonyesha Tattoo Yake ya Mpya ya Mgongoni
Staa wa bongo Movies, Aunt Ezekiel kupitia ukurasa wake mtandaoni ameweka picha hii akiwa amejichora tattoo ya jina la mwanae na mpenzi wake, ikiwa leo mtoto wake Cookie amefikisha siku 40 tangu kuzaliwa nakuandika haya kwa lugha ya kingereza;
“Reason 2 Live 2 Breath 2 Fight 2 Try 2 Dream and Succeed .To Love to hurt ,Forgetan an 4give.Reason for my existence is Her an Him Ooooooh!God blessed me with ma my amazing Gal an Boy .And am thankful ..HAPPY 40 DAYS MY WORLD.....”
Kwa tafsiri...
10 years ago
BBCSwahili29 Sep