Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nikki Wa Pili asema hapendi michoro ya tattoo kwa sababu ni fasheni itakayopotea

Nikki tattoo

Rapper wa kundi la Weusi, Nickson Simon maarufu kama Nikki Wa Pili amesema michoro ya tattoo wanayojichora watu wengi maarufu ni fasheni, hivyo ipo siku itapita na kuonekana haina maana tena, ndiyo maana yeye haipendi.

Nikki tattoo

Akizungumza na MTANZANIA, Nikki alisema kuwa sifa moja ya fasheni ni kuvuma na kupotea, hivyo ana hofu ya kuchora tattoo kwa kuwa itafika kipindi michoro hiyo itakuwa siyo ujanja tena.

“Ile ni fasheni, watu wanachora na wanapendeza, lakini hawajui kuwa sifa kubwa ya fasheni...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nikki wa Pili: Sipendi michoro ya tattoo

???????????????????????????????NA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa Bongo Fleva, Nickson Saimon ‘Nikki Wa Pili’ amesema michoro ya tattoo wanayojichora watu wengi maarufu ni fasheni, hivyo ipo siku itapita na kuonekana haina maana tena, ndiyo maana yeye haipendi.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Nikki wa Pili alisema kuwa sifa moja ya fasheni ni kuvuma na kupotea, hivyo ana hofu ya kuchora tattoo kwa kuwa itafika kipindi michoro hiyo itakuwa siyo ujanja tena.

“Ile ni fasheni, watu wanachora na wanapendeza, lakini hawajui kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 3 mpya za Weusi hazitatoka tena wiki hii, Nikki Wa Pili aeleza sababu

Mashabiki wa Weusi waliokuwa wakisubiri kwa hamu kupokea kazi mpya kutoka kwa wasanii wa kundi hilo,wanalazimika kuvuta subira kwasababu nyimbo mpya pamoja na video za Joh makini, Nikki Wa Pili na G-Nako zilizokuwa zitoke wiki hii hazitatoka tena wiki hii. Nikki wa Pili ameiambia Bongo5 kuwa yeye na wenzake wametafakari hali ilivyo hivi sasa na […]

 

10 years ago

Vijimambo

PITIA MICHORO HII YA TATTOO

Huyu ni bingwa wa tattoo hadi kwenye macho kwajina anaitwa Rato  hadi ulimi ameuchana katikati hapo ndiyo utakavyo kubari kuwa huyu Rato ni mnyambisi.Mgongi unakutana na hii pichaRato ni shidaHuyo anachorwa Batman mgongoniUwezi kuwa mume mke wa hawa jamaa hadi na wewe uwe mgonjwa wa mambo haya ya michoro siyo bure kila siku ubavuni mwako na mnategemea kupata watoto hapo usije kumlahumu mungu mkipata vampire.Hii ilikuwa wiki ya matattoo iliyofanyika huko Brazil hapa Rato akiwa na mshirika...

 

10 years ago

CloudsFM

Nikki Mbishi amjibu Nikki wa Pili

Jana kwenye ukurasa wa Instagrama wa @Cloudsfmtz waliposti mambo ambayo Nikki wa Pili aliyaandika ili kuwapa husia wasanii wanao kuja kuwa na style yao tofauti katika muziki huu wa Hip Hop pia alielezea ni kwa jinsi gani wasanii wa HipHop wa zamani ambavyo wamekuwa hawafanyi vizuri na mambo mengi alizungumzia kuhusiana na muziki wa Hip Hop Sasa baada ya Cloudsfm kupost Nikki Mbishi akaona na akibidi amjibu Nikki Wa Pili kwa kumwambia Kama wewe unafanya na uko happy nacho then fanya ila...

 

9 years ago

Bongo5

Kukosekana kwa umoja wa wasanii kunasababisha wajanja wachache kunufaika — Nikki Wa Pili

Rapper wa Weusi, Nikki Wa Pili amesema kuwa kukosekana kwa umoja wa wasanii kunasababisha mambo yao mengi kuzorota. Akiongea na Planet Bongo ya EA Radio, Nikki amesema ni lazima wasanii watambue umuhimu wa kutengeneza umoja wao utakaowasimamia na kuwasemea. “Umoja ni kitu cha msingi, kwa sababu bila umoja mambo mengi ya wasanii yatazorota, na kutokuwepo […]

 

9 years ago

Bongo5

Shaa asema hapendi tabia ya mashabiki kumshindanisha na Vanessa Mdee

shaa sugua gaga

Muimbaji wa ‘Sugua Gaga’ Sarah Kaisi a.k.a Shaa ameeleza jinsi anavyokerwa na tabia ya baadhi ya mashabiki wa muziki wanaojaribu kuwashindanisha kisanii na muimbaji nwenzake Vanessa Mdee.

shaa sugua gaga

Shaa ambaye ameachia wimbo mpya ‘Toba’ wiki iliyopita, amesema si sawa kushindanishwa na Vee Money kwasababu wote wanapeperusha bendera ya Tanzania.

“Niwambie ukweli sipendi sana hii tabia ya watanzania kunishindanisha na Vanessa Mdee au kitendo cha kuwashindanisha wasanii wa nyumbani,” alisema Shaa...

 

9 years ago

Mwananchi

NIKKI WA PILI : Zaidi ya mwanamuziki

Mara nyingi tumezoea kuona wasanii wakijishughulisha na kazi za sanaa pekee na ni wachache ambao wanafanya kazi za sanaa na wakati huohuo wakajishughulisha na shughuli nyingine za kitaalamu.

 

9 years ago

GPL

NIKKI WA PILI AWAPA SOMO VIJANA

Nyota wa Hip Hop Bongo kutoka Kundi la Weusi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’. NYOTA wa Hip Hop Bongo kutoka Kundi la Weusi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ ameibuka na kuwapa somo vijana kwamba wanatakiwa kutumia changamoto wanazopitia katika maisha na kuwa mafanikio kuliko kukaa na kulaumu. kipiga stori na Risasi Vibes, Nikki wa Pili anayebamba na Ngoma ya Baba Swalehe alisema, vijana wengi wamekuwa na dhana kwamba...

 

10 years ago

Jamtz.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani