PITIA MICHORO HII YA TATTOO
Huyu ni bingwa wa tattoo hadi kwenye macho kwajina anaitwa Rato hadi ulimi ameuchana katikati hapo ndiyo utakavyo kubari kuwa huyu Rato ni mnyambisi.
Mgongi unakutana na hii picha
Rato ni shida
Huyo anachorwa Batman mgongoni
Uwezi kuwa mume mke wa hawa jamaa hadi na wewe uwe mgonjwa wa mambo haya ya michoro siyo bure kila siku ubavuni mwako na mnategemea kupata watoto hapo usije kumlahumu mungu mkipata vampire.
Hii ilikuwa wiki ya matattoo iliyofanyika huko Brazil hapa Rato akiwa na mshirika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Nikki wa Pili: Sipendi michoro ya tattoo
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa Bongo Fleva, Nickson Saimon ‘Nikki Wa Pili’ amesema michoro ya tattoo wanayojichora watu wengi maarufu ni fasheni, hivyo ipo siku itapita na kuonekana haina maana tena, ndiyo maana yeye haipendi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Nikki wa Pili alisema kuwa sifa moja ya fasheni ni kuvuma na kupotea, hivyo ana hofu ya kuchora tattoo kwa kuwa itafika kipindi michoro hiyo itakuwa siyo ujanja tena.
“Ile ni fasheni, watu wanachora na wanapendeza, lakini hawajui kuwa...
9 years ago
Bongo524 Nov
Nikki Wa Pili asema hapendi michoro ya tattoo kwa sababu ni fasheni itakayopotea
![Nikki tattoo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nikki-tattoo-300x194.jpg)
Rapper wa kundi la Weusi, Nickson Simon maarufu kama Nikki Wa Pili amesema michoro ya tattoo wanayojichora watu wengi maarufu ni fasheni, hivyo ipo siku itapita na kuonekana haina maana tena, ndiyo maana yeye haipendi.
Akizungumza na MTANZANIA, Nikki alisema kuwa sifa moja ya fasheni ni kuvuma na kupotea, hivyo ana hofu ya kuchora tattoo kwa kuwa itafika kipindi michoro hiyo itakuwa siyo ujanja tena.
“Ile ni fasheni, watu wanachora na wanapendeza, lakini hawajui kuwa sifa kubwa ya fasheni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eFVK4ec8Rz8/VOAZPfXrYXI/AAAAAAADZCw/aiaYi6MRGsM/s72-c/kp13022015.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-102jFb-3gU8/VN2LATN7IsI/AAAAAAADYCU/Wj1mxtcXMfE/s72-c/VUNJO.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dz3uZJxrOpY/VN4qSri4JVI/AAAAAAADYGU/WOUQ2ZhULR8/s72-c/Katuni%2BFeb%2B13.jpg)
10 years ago
Vijimambo9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Matatu zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo wa muziki wake humo ndani sasa ndio balaa yani. Nimezipata […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz)
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Ukiwa TZ tunaziita ‘Daladala‘, lakini Kenya wenyewe wanaziita ‘Matatu‘.. gari hizo zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G-x6pfsgd2k/default.jpg)