Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Matatu zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo wa muziki wake humo ndani sasa ndio balaa yani. Nimezipata […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz)
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Ukiwa TZ tunaziita ‘Daladala‘, lakini Kenya wenyewe wanaziita ‘Matatu‘.. gari hizo zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!
Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]
The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...
9 years ago
Bongo514 Nov
Hii ndio filamu ya Bongo iliyouza zaidi kwa mujibu wa Steps Entertainment
![11796346_858648140856198_5910047054412595256_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11796346_858648140856198_5910047054412595256_n-300x194.jpg)
Kampuni ya usambazaji wa filamu nchini, Steps Entertainment imesema licha filamu nyingi kushindwa kufanya vizuri sokoni katika kipindi hiki, filamu ya ‘Wake Up’ imeweza kufanya vizuri zaidi.
Akizungumza na Bongo5, afisa masoko wa Steps, Kambarage alisema filamu hiyo iliyochezwa na mastaa mbalimbali imeweza kuhimili changamoto mbalimbali zilizopo kutokana mastaa zaidi ya 13 kuigiza katika ya filamu hiyo.
“Hali sio nzuri ukifikia kuuza nakala 10,000 lazima ushangilie na ni filamu ya Wake Up...
10 years ago
Vijimambo04 Feb
PITIA MICHORO HII YA TATTOO
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/17/video-undefined-24C8726700000578-202_636x358.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/17/24C88B3900000578-2914521-This_man_has_a_very_intricate_design_on_his_back_which_he_was_ha-a-27_1421501269472.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/17/24C88B3D00000578-2914521-Not_only_has_this_man_Rato_got_a_split_tongue_out_of_choice_but_-a-25_1421501257047.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/17/24C88B2600000578-2914521-One_person_opts_to_get_a_tattoo_of_his_favourite_superhero_Batma-a-24_1421501251510.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/17/24C5124800000578-2914521-image-a-14_1421500701333.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/17/24C5180C00000578-2914521-image-a-16_1421500788730.jpg)
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani …
Mtu wangu wa nguvu najua unafahamu kama mchezo wa soka ndio mchezo unaoongoza kwa kupendwa duniani. Katika soka kuna list ya wachezaji ambao wanapendwa na mashabiki kutokana na vitu ambavyo wanafanya uwanjani. Imenifikia TOP 5 ya mastaa wa soka wanaoongoza kwa kupendwa duniani. Lionel Messi ambaye anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ndio anatufungulia list […]
The post Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani … appeared first on...
9 years ago
Bongo514 Dec
Hii ndio scene iliyomtoa machozi Diamond kwenye video ya Utanipenda!
![12224632_1624698111126002_1129176434_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12224632_1624698111126002_1129176434_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz aliamua kuitumia familia nzima kwenye video ya wimbo wake mpya, Utanipenda!
Mchumba wake Zari, mwanae Tiffah, mama yake Sandra na mameneja wake Babu Tale na Said Fella wameonekana.
Hata hivyo scene ya mama yake inayomuonesha akienda kwa Jakaya Kikwete na kufukuzwa na pia kwa Said Fella na kufukuzwa pia ilimliza Diamond.
“Wakati hii scene inashutiwa sikuweza kabisa kukaa karibu, ijapokuwa ilikuwa ni uigizaji ila nikajikuta najiskia vibaya alivyokuwa anafukuzwa na...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hadi kufikia mwaka 2012 hii ndio ilikuwa TOP 5 ya wachezaji watano wanaochukiwa zaidi katika soka …
Mtu wangu wa nguvu najua unafahamu kuwa soka ndio mchezo unaopendwa na watu wengi duniani au unaweza kuita ndio mchezo maarufu sana duniani. Najua umezoea kusikia headlines za soka kila kukicha kuhusu mastaa wake kufanya hivi au vile na vitu vingine vingi. Ila kama ambavyo tumekuwa tukiona watu maarufu kutoka tasnia mbalimbali wakichukiwa basi nimekutana […]
The post Hadi kufikia mwaka 2012 hii ndio ilikuwa TOP 5 ya wachezaji watano wanaochukiwa zaidi katika soka … appeared first on...
11 years ago
Michuzi15 Jul