Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hii ndio filamu ya Bongo iliyouza zaidi kwa mujibu wa Steps Entertainment

11796346_858648140856198_5910047054412595256_n

Kampuni ya usambazaji wa filamu nchini, Steps Entertainment imesema licha filamu nyingi kushindwa kufanya vizuri sokoni katika kipindi hiki, filamu ya ‘Wake Up’ imeweza kufanya vizuri zaidi.

11796346_858648140856198_5910047054412595256_n

Akizungumza na Bongo5, afisa masoko wa Steps, Kambarage alisema filamu hiyo iliyochezwa na mastaa mbalimbali imeweza kuhimili changamoto mbalimbali zilizopo kutokana mastaa zaidi ya 13 kuigiza katika ya filamu hiyo.

“Hali sio nzuri ukifikia kuuza nakala 10,000 lazima ushangilie na ni filamu ya Wake Up...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu yakutana na Viongozi wa Kampuni ya Steps kujadili Maendeleo ya Tansia ya Filamu Nchini.

 Vijana,Utamaduni na Michezo  Bw.Patrick Kipangula  (kulia) wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu na wadau kutoka Kampuni ya Steps Entertainment kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu Bw.Sylvester Sengerema. Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps Entertainment Bw.Delish Solanki (kushoto) akizungumza na viongozi wa Bodi ya Filamu (hawapo katika picha) katika kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu nchini Bw.Claude Nyalaba (kulia) na Bw.Carles Johns (katikati)...

 

10 years ago

Bongo5

Hizi ndizo timu duniani (michezo yote) zenye thamani zaidi kwa mujibu wa Forbes

Forbes wametoa orodha mpya ya timu zenye thamani zaidi duniani. Orodha hiyo inaonesha kwa upande wa soka ni Real Madrid ndio imekamata nafasi ya juu ikifuatiwa na Manchester United. Hii ndio orodha kamili 1. New York Yankees – $661m (£430m) 2. Los Angeles Lakers – $521m (£339m) 3. Dallas Cowboys – $497m (£323m) 4. New […]

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo

Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Matatu zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo wa muziki wake humo ndani sasa ndio balaa yani. Nimezipata […]

The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz)

Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Ukiwa TZ tunaziita ‘Daladala‘, lakini Kenya wenyewe wanaziita ‘Matatu‘.. gari hizo zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo […]

The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz) appeared first on...

 

11 years ago

Bongo Movies

Hii ndio filamu ya Kibongo itakaayoneshwa kwenye jumba la cinema la Mlimani City kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu.

Kwa mara nyingine tena wapenzi wa bongo movies tunatapa fursa ya kwenda kuangalia moja ya kazi za kipekee na ubunifu zaidi kwenye Tasnia ya filamu nchini. Kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam, basi tukutane pale kwenye jumba la cinema la mlimani city kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu kutazama filamu mpya na ya Kipekee Samaki mchangani. iliyotengenezwa na kampuni ya Kijiweni production chini ya usimamizi wa mtayarishaji Wlison Rumisha.

 

"Filamu hii inaanza na siku ya faraja kwa ajili ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani …

Mtu wangu wa nguvu najua unafahamu kama mchezo wa soka ndio mchezo unaoongoza kwa kupendwa duniani. Katika soka kuna list ya wachezaji ambao wanapendwa na mashabiki kutokana na vitu ambavyo wanafanya uwanjani. Imenifikia TOP 5 ya mastaa wa soka wanaoongoza kwa kupendwa duniani. Lionel Messi ambaye anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ndio anatufungulia list […]

The post Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani … appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

2014 Forest Hills Drive ya J.Cole yawa album ya hip hop iliyouza zaidi kwenye wiki ya kwanza mwaka huu

Album mpya ya J.Cole, 2014 Forest Hills Drive imeuza kopi nyingi zaidi kwenye wiki ya kwanza kuliko album yoyote ya hip hop iliyotoka mwaka huu. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na album ya Rick Ross, Mastermind iliyouza kopi 179,000 kwenye wiki yake ya kwanza. Album ya Cole imeizidi mara mbili Mastermind kwa kuuza kopi 361,000 kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani