Hizi ndizo timu duniani (michezo yote) zenye thamani zaidi kwa mujibu wa Forbes
Forbes wametoa orodha mpya ya timu zenye thamani zaidi duniani. Orodha hiyo inaonesha kwa upande wa soka ni Real Madrid ndio imekamata nafasi ya juu ikifuatiwa na Manchester United. Hii ndio orodha kamili 1. New York Yankees – $661m (£430m) 2. Los Angeles Lakers – $521m (£339m) 3. Dallas Cowboys – $497m (£323m) 4. New […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s72-c/_77757295_manutd_getty.jpg)
ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s400/_77757295_manutd_getty.jpg)
Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.
Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKcgC9m4UjrIfA*MG04AZMVwbvACLQNNWi3nZM3LRctWJzDhxZqoKFDRngpmcplC7swv12Q6V*zlWYR1lv8AE8ht/NMBcopy.jpg?width=750)
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani
11 years ago
CloudsFM29 May
TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
10 years ago
Bongo Movies06 May
Hizi Ndizo Tambo za Asha Boko Kwa Komediani wa Hapa Bongo
Staa wa Bongo Movies ambaye ni moja kati ya wachekeshaji wakongwe, Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.
“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
PICHA HIZI NDIZO ZILIZOTUMIA KUMMALIZA KIJANA KWA HUKUMU YA KIFO.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/22/20/article-3051049-27E048C300000578-292_964x400.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s72-c/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s400/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
Hapa kwetu Tanzania tunazo ndoa za aina kuu mbili. Kwanza tunazo ndoa za kiraia au kiserikali, na pili tunazo ndoa za kimila.
Ndoa za kiraia au za kiserikali kama zinavyojulikana kwa wengi ni zile ambazo hufungwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya n.k. Na kwa upande wa ndoa za kimila hizi ni zile ambazo hufungwa kutokana na taratibu za watu wa kabila au koo fulani kwa mujibu...
10 years ago
Michuzi08 Oct
MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/W-gYqrsvqvZscbuOk_qdBQcx43yh9S1SYO7g3ssU75MbCncKlbpeNeFu5uTWGQtZIsJzbMxrel_GBPa-jjErVZmHNXDxGHtF-oubcYLGWXYQ6QQ2agsBUNRHoEXK2vC7Hmn86FXV4y-_XO3pKC0BpRFHwEZ5vxGFX5EQk3PdB7MPShJDbPqlwqT98roitVB4Fpa6LjJiy9ssZx9fd-uA_h2hTC6-SWoY0GTEDmQblzevfehx2zXFL7X_Aju22FBGVn_w0M-L45ZvGdaKE3Sr-6FbKgp_sEklPfEYeXTO-1dQY9yFdAhfrB_1_PyVjaSLk6yjOiTgPBIm_4tbxugZDw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-C7ZI7M8JMxA%2FVDRmlJ6OotI%2FAAAAAAADI_4%2FwJC50x6hb6k%2Fs1600%2Fsl%252B1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...
9 years ago
Bongo514 Nov
Hii ndio filamu ya Bongo iliyouza zaidi kwa mujibu wa Steps Entertainment
![11796346_858648140856198_5910047054412595256_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11796346_858648140856198_5910047054412595256_n-300x194.jpg)
Kampuni ya usambazaji wa filamu nchini, Steps Entertainment imesema licha filamu nyingi kushindwa kufanya vizuri sokoni katika kipindi hiki, filamu ya ‘Wake Up’ imeweza kufanya vizuri zaidi.
Akizungumza na Bongo5, afisa masoko wa Steps, Kambarage alisema filamu hiyo iliyochezwa na mastaa mbalimbali imeweza kuhimili changamoto mbalimbali zilizopo kutokana mastaa zaidi ya 13 kuigiza katika ya filamu hiyo.
“Hali sio nzuri ukifikia kuuza nakala 10,000 lazima ushangilie na ni filamu ya Wake Up...