ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s72-c/_77757295_manutd_getty.jpg)
Klabu ya Manchester United ya nchini England imetangazwa kuwa klabu yenye thamani kuliko zote duniani kufuatia utafiti uliondeshwa katika kipindi cha miezi 12 iliyopita , utafiti uliohusisha klabu kubwa za soka duniani.
Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.
Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Oct
Hizi ndizo timu duniani (michezo yote) zenye thamani zaidi kwa mujibu wa Forbes
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKcgC9m4UjrIfA*MG04AZMVwbvACLQNNWi3nZM3LRctWJzDhxZqoKFDRngpmcplC7swv12Q6V*zlWYR1lv8AE8ht/NMBcopy.jpg?width=750)
11 years ago
CloudsFM29 May
TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Huyu ndio Mtanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 bora wa Afrika wanaofanya Vizuri zaidi Duniani.
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL8f2zQaQlYfCFWZxq2O8PmYl7hLTM9iDIcria*R5I1f7MrktV6gOo0h1EVzLMO2Sq2TV5Kk26s2OA-NvHC-eDy3/heriethPaulgapspring2014campaignFABMagazine.png)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*Zu*8sPSZJHnvWihvBLElVzw8OmCXBDxQoQVrc-mbur41xuVkvDMkPuRmdJ5nrUSSHS34YWKrzo8kkEDRrJbF9/20130708122359_00013.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9xeZfpbl1oPHB-pLVChJas7mhKDiPT8EWolpBOblN5e3loYOSajG6KAEkxH40EMKcJAetXM3hBwAgF5YVD37Gw/HariethPaulBettyAdewoleSebastianKimTeenVogue06.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9bzWucX4WFHkH0ioIjGdhPAsNigI0oGwlmNwDbvCj4iEuLHHqUuDIPYH8kS6sto-R9U22Rppyt8y65YrBHvTja/24664500w.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL-nuP-gArGnZ5yMwsmxyEdZMJaCwOg8E9IW5y7Rt8F1t-5UiefToXM8KS3*Lmkbv2rWy5QXO-TDr6wKkqUipBoj/TO2WAugust13LegionValerioUmaliDuardo24700x912.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*Gdb40GdQptGxUU27iFTIlqRIooNaLpW*635X1yzquOr0luuJqF4ZR9-c0n3IluNmC-bAfRLjlAvb38w31G7D2/MalaikaFirth1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9o5LfqesAsI8arbZfZMsNgH8b1sCPwdRQudPGlLZKisZqMcybTwe-KAVYX-9Wv4BH7z5cspcJkKrQDiWkQohVU/IMANEditorLiyaFeature600x400.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/candice-swanepoel-hot-vs-sport-pics-part2-5.jpg?width=600)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Fatima-Siad_001.jpg?width=600)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/3105.jpg?width=600)
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Real Madrid yatajwa kuwa Club tajiri zaidi duniani
Real Madrid, mabingwa mara kumi wa Ulaya, wameweza kushikilia nafasi ya kwanza kama timu tajiri zaidi duniani kwa mwaka wa kumi mfululizo, katika orodha ya Deloitte ya timu tajiri duniani.
Manchester United imesogea hadi nafasi ya pili kutoka ya nne, katika tathmini iliyofanywa kwa kuzingatia mapato ya msimu wa 2013-14.
Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain zimechukua nafasi ya tatu, nne na tano.
Klabu za England za Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool zimo katika nafasi...
11 years ago
Bongo503 Aug
Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani
10 years ago
VijimamboWATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.
WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
10 years ago
MichuziTFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...