WATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20
Dola bandia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.Na Elizabeth Kilindi, TANGA
WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...
9 years ago
Michuzinyara za serikali zenye thamani ya Tsh. Milioni 81 zadakwa pamoja na watuhumiwa 121
Na Lorietha Laurence - Maelezo.JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Ofisi za Shirikisho la Polisi Duniani (Interpol) kanda ya Kusini mwa Afrika, imefanikiwa kukamata nyara za serikali zenye thamani ya Tsh. Milioni 81 na watuhumiwa 121 wa makosa mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi (Oktoba 1, 2015), Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi, Kamishna Diwani Athuman (pichani), alisema kuwa lengo la operesheni hiyo ni...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Wakamatwa na meno ya tembo vipande 22 vyenye thamani ya Sh157 milioni
9 years ago
Bongo520 Oct
Davido asema thamani yake hajafikia dola milioni 14 japo anatamani
10 years ago
VijimamboMFUKO WA LAPF WATOA MSAADA WA RANGI ZENYE THAMANI YA SH.MILIONI 3 KUMALIZIA UJENZI WA MAABARA YA SHULE WILAYANI ULANGA
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s72-c/_77757295_manutd_getty.jpg)
ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s400/_77757295_manutd_getty.jpg)
Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.
Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKcgC9m4UjrIfA*MG04AZMVwbvACLQNNWi3nZM3LRctWJzDhxZqoKFDRngpmcplC7swv12Q6V*zlWYR1lv8AE8ht/NMBcopy.jpg?width=750)