Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA

Baadhi ya bidhaa zilizoteketezwa na Maofisa wakaguzi wa TFDA wilayani Sikonge.Maofisa wakaguzi wa TFDA kanda ya kati wakijiandaa kuteketeza bidhaa zilizoisha mda wake ikiwemo vinywaji wilayani Sikonge (picha na Allan Ntana).
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yateketeza bidhaa tani 3

MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza bidhaa za mamilioni ya shilingi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), imeteketeza bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya binadmu zenye thamani ya zaidi Sh10 milioni.

 

5 years ago

Michuzi

KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3




………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeongeza vituo vya ukaguzi katika kanda sita ili kudhibiti uingizaji bidhaa feki nchi na kulinda afya za watumiaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki

WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA washirikiana na Interpol kusaka bidhaa feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa( TFDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na Interpol tawi la Tanzania, imefanikiwa kukamata jumla la dawa na vipodozi  haramu vyenye thamani ya Sh135milioni katika Operesheni Giboia (II) iliyofanyika katika mikoa nane.

 

10 years ago

Vijimambo

WATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20

Dola bandia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.Na Elizabeth Kilindi, TANGA

WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...

 

9 years ago

Habarileo

TFDA Dodoma wateketeza bidhaa za mil 38/-

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imeteketeza bidhaa mbalimbali zikiwemo dawa za binadamu na za mifugo, vipodozi vyenye viambata vya sumu na vyakula, vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 38.8.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani