TFDA washirikiana na Interpol kusaka bidhaa feki
Mamlaka ya Chakula na Dawa( TFDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na Interpol tawi la Tanzania, imefanikiwa kukamata jumla la dawa na vipodozi  haramu vyenye thamani ya Sh135milioni katika Operesheni Giboia (II) iliyofanyika katika mikoa nane.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Sep
TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki
WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...
10 years ago
MichuziTFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
TFDA yateketeza bidhaa tani 3
MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Habarileo11 Jun
TFDA yatoa ushahidi wa ARVs ‘feki’ mahakamani
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imedai ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL) kinachomilikiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida ni bandia.
9 years ago
Habarileo12 Sep
TFDA Dodoma wateketeza bidhaa za mil 38/-
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imeteketeza bidhaa mbalimbali zikiwemo dawa za binadamu na za mifugo, vipodozi vyenye viambata vya sumu na vyakula, vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 38.8.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
TFDA yateketeza bidhaa za mamilioni ya shilingi