Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA yatoa ushahidi wa ARVs ‘feki’ mahakamani

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imedai ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL) kinachomilikiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida ni bandia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madabida kizimbani kwa ARVs ‘feki’

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni.     

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeongeza vituo vya ukaguzi katika kanda sita ili kudhibiti uingizaji bidhaa feki nchi na kulinda afya za watumiaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki

WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA washirikiana na Interpol kusaka bidhaa feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa( TFDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na Interpol tawi la Tanzania, imefanikiwa kukamata jumla la dawa na vipodozi  haramu vyenye thamani ya Sh135milioni katika Operesheni Giboia (II) iliyofanyika katika mikoa nane.

 

10 years ago

Habarileo

‘Toeni ushahidi wa wabakaji mahakamani’

MRATIBU wa mtandao wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji kijinsia Jeshi la Polisi Makao Makuu, Hasina Ramadhan Toufik ameitaka jamii kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaotuhumiwa kubaka ili kukomesha matukio hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

JK aitwa mahakamani kutoa ushahidi

Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa mashahidi wanaotarajiwa kuitwa na walalamikaji katika shauri dhidi ya nchi za Kenya, Uganda na Rwanda linaloendelea katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).

 

10 years ago

Michuzi

TFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA

Baadhi ya bidhaa zilizoteketezwa na Maofisa wakaguzi wa TFDA wilayani Sikonge.Maofisa wakaguzi wa TFDA kanda ya kati wakijiandaa kuteketeza bidhaa zilizoisha mda wake ikiwemo vinywaji wilayani Sikonge (picha na Allan Ntana).
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI

Na  Bashir  Yakub.
1.USHAHIDI  WA  KUAMBIWA  NININI.
Ushahidi  wa  kuambiwa  ni  ushahidi  unaotolewa  na  mtu  ambaye  hakuona  tukio  likitendeka,  hakusikia  tukio  likitendeka,  hakuhisi  wala  kuonja,  wala  kunusa  jambo  lililo mbele  ya  mahakama  kama  kosa  isipokuwa   aliambiwa    na  mtu  mwingine aliyeona,  kusikia, kuhisi, kunusa  au  kuonja.  Hapa  kuna  watu  wawili,  kwanza  aliyeona au kusikia , na  pili  yule  aliyeambiwa  na  huyu   aliyeona   au  kusikia .   
Kwahiyo  ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani