TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki
Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Dec
TFDA yateketeza shehena ya vipodozi
10 years ago
Habarileo15 Nov
TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
TFDA yakamata tani 34 za vipodozi hatari
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema katika kaguzi za mwaka 2012 hadi 2013 wamekamata jumla ya tani 34 za vipodozi visivyofaa vyenye thamani ya sh milioni 188. Ofisa Habari...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
TFDA yapiga marufuku vipodozi 200
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imepiga marufuku vipodozi 222, baada ya kugundulika kuwa vina viambata vyenye sumu. Kaimu Meneja wa TFDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Rodney Alananga,...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
TFDA yapiga marufuku aina 36 za vipodozi nchini
ESTHER MNYIKA NA MGENI SHABANI DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imezuia utengenezaji wa vipodozi tofauti 36 vya krimu na losheni ambavyo vimebainika kuwa na viambato vya steroids vilivyopigwa marufuku.
Vipodozi vilivyobainika kuwa na viambato vilivyopigwa marufuku ni pamoja na siri moisturizing cream lemon, cocoa butter krimu,siri moisturizing cream lemon,lovely body cream lemon, lovely body cream.
Uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
TFDA yavifungia viwanda vitano vya vipodozi
10 years ago
Habarileo27 May
TFDA yaombwa kufuatilia ubora wa vipodozi vya asili
WATUMIAJI wa vipodozi wameishauri Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kufuatilia na kuwachukulia hatua watengenezaji wa vipodozi vya asili, wanaodanganya ubora wa bidhaa zao wakati zinaathiri ngozi za watumiaji.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Vipodozi feki vyaharibiwa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9f_Ln8mupI/UyGq_BjHETI/AAAAAAAFTaA/WnhivpFu2zw/s72-c/1.jpg)
TFDA KUTEKETEZA VIPODOZI VISIVYOFAA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 188
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9f_Ln8mupI/UyGq_BjHETI/AAAAAAAFTaA/WnhivpFu2zw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VD0LPAHMc8Q/UyGrA1i7PFI/AAAAAAAFTaM/kAXg39z31Qs/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nsOC9tcJXaU/UyGrAvUn4jI/AAAAAAAFTaI/8rNewOgoNXE/s1600/3.jpg)