TFDA yakamata tani 34 za vipodozi hatari
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema katika kaguzi za mwaka 2012 hadi 2013 wamekamata jumla ya tani 34 za vipodozi visivyofaa vyenye thamani ya sh milioni 188. Ofisa Habari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Nov
TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.
10 years ago
Habarileo18 Nov
TFDA yakamata tani 313.4 za bidhaa zisizofaa
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema kwa mwaka 2013/14 ilipokea jumla ya bidhaa zenye uzito wa tani 313.4 zenye thamani ya Sh milioni 962 ambazo zimethibitishwa kuwa hazifai kwa matumizi ya binadamu.
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
TRA yakamata tani 11 za ngozi ghafi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata tani 11 za ngozi ghafi mpakani katika Mkoa wa Arusha. Tani hizo za ngozi ghafi ni moja ya biashara ya magendo ambazo hufanywa na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
TFDA yateketeza bidhaa tani 3
MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
TFDA yateketeza shehena ya vipodozi
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
TFDA yapiga marufuku vipodozi 200
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imepiga marufuku vipodozi 222, baada ya kugundulika kuwa vina viambata vyenye sumu. Kaimu Meneja wa TFDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Rodney Alananga,...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki
10 years ago
Mwananchi18 Aug
TFDA yavifungia viwanda vitano vya vipodozi
10 years ago
Mtanzania18 Aug
TFDA yapiga marufuku aina 36 za vipodozi nchini
ESTHER MNYIKA NA MGENI SHABANI DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imezuia utengenezaji wa vipodozi tofauti 36 vya krimu na losheni ambavyo vimebainika kuwa na viambato vya steroids vilivyopigwa marufuku.
Vipodozi vilivyobainika kuwa na viambato vilivyopigwa marufuku ni pamoja na siri moisturizing cream lemon, cocoa butter krimu,siri moisturizing cream lemon,lovely body cream lemon, lovely body cream.
Uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa...