Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA yakamata tani 34 za vipodozi hatari

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema katika kaguzi za mwaka 2012 hadi 2013  wamekamata jumla ya tani 34 za vipodozi visivyofaa vyenye thamani ya sh milioni 188. Ofisa Habari...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi

 MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.

 

10 years ago

Habarileo

TFDA yakamata tani 313.4 za bidhaa zisizofaa

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema kwa mwaka 2013/14 ilipokea jumla ya bidhaa zenye uzito wa tani 313.4 zenye thamani ya Sh milioni 962 ambazo zimethibitishwa kuwa hazifai kwa matumizi ya binadamu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yakamata tani 11 za ngozi ghafi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata tani 11 za ngozi ghafi mpakani katika Mkoa wa Arusha. Tani hizo za ngozi ghafi ni moja ya biashara ya magendo ambazo hufanywa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yateketeza bidhaa tani 3

MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza shehena ya vipodozi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Kanda ya Kati imetekeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vya thamani ya Sh49 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yapiga marufuku vipodozi 200

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imepiga marufuku vipodozi 222, baada ya kugundulika kuwa vina viambata vyenye sumu. Kaimu Meneja wa TFDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Rodney Alananga,...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni.     

 

10 years ago

Mwananchi

TFDA yavifungia viwanda vitano vya vipodozi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), imevifungia viwanda vitano vya kutengeneza vipodozi kwa muda wa miezi sita baada ya kubainika kutengeneza krimu, losheni na jeli zenye viambato sumu aina ya ‘steroid’ ambavyo vina madhara kwa binadamu.

 

10 years ago

Mtanzania

TFDA yapiga marufuku aina 36 za vipodozi nchini

hiiti_b_silloESTHER MNYIKA NA MGENI SHABANI DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imezuia utengenezaji wa vipodozi tofauti 36 vya   krimu na losheni ambavyo vimebainika  kuwa na viambato vya steroids vilivyopigwa marufuku.

Vipodozi vilivyobainika kuwa na viambato  vilivyopigwa marufuku ni pamoja na siri moisturizing cream lemon, cocoa butter krimu,siri moisturizing  cream lemon,lovely body cream lemon, lovely body cream.

Uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani