Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA yakamata tani 313.4 za bidhaa zisizofaa

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema kwa mwaka 2013/14 ilipokea jumla ya bidhaa zenye uzito wa tani 313.4 zenye thamani ya Sh milioni 962 ambazo zimethibitishwa kuwa hazifai kwa matumizi ya binadamu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yakamata tani 34 za vipodozi hatari

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema katika kaguzi za mwaka 2012 hadi 2013  wamekamata jumla ya tani 34 za vipodozi visivyofaa vyenye thamani ya sh milioni 188. Ofisa Habari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yateketeza bidhaa tani 3

MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yakamata tani 11 za ngozi ghafi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata tani 11 za ngozi ghafi mpakani katika Mkoa wa Arusha. Tani hizo za ngozi ghafi ni moja ya biashara ya magendo ambazo hufanywa na...

 

10 years ago

Habarileo

TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi

 MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.

 

10 years ago

Habarileo

TRA yakamata bidhaa za magendo za mabilioni

Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Rished BadeMAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa za magendo zenye thamani ya Sh milioni 228.4, ikiwa ni katika jitihada za kudhibiti uingizaji wa bidhaa kwa njia ya magendo na biashara ya magendo nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeongeza vituo vya ukaguzi katika kanda sita ili kudhibiti uingizaji bidhaa feki nchi na kulinda afya za watumiaji.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza bidhaa za mamilioni ya shilingi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), imeteketeza bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya binadmu zenye thamani ya zaidi Sh10 milioni.

 

9 years ago

Habarileo

TFDA Dodoma wateketeza bidhaa za mil 38/-

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imeteketeza bidhaa mbalimbali zikiwemo dawa za binadamu na za mifugo, vipodozi vyenye viambata vya sumu na vyakula, vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 38.8.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani