TFDA yateketeza bidhaa za mamilioni ya shilingi
Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), imeteketeza bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya binadmu zenye thamani ya zaidi Sh10 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
TFDA yateketeza bidhaa tani 3
MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
MichuziTFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...
10 years ago
Habarileo15 Nov
TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.
9 years ago
Mwananchi15 Dec
TFDA yateketeza shehena ya vipodozi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QKBORAO-k1s/VB57WgQK-YI/AAAAAAAGk0c/3oaPKi_Vi4U/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa yateketeza bidhaa mbovu kibao mkoani kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-QKBORAO-k1s/VB57WgQK-YI/AAAAAAAGk0c/3oaPKi_Vi4U/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v0M3rE7uzSE/VB57W-vMeoI/AAAAAAAGk0g/tB_4O9j_u-g/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y9Z2_PuR3Y8/VB57WxfC3PI/AAAAAAAGk0k/Hrf6vp2nVxM/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Sep
TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini
9 years ago
Habarileo12 Sep
TFDA Dodoma wateketeza bidhaa za mil 38/-
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imeteketeza bidhaa mbalimbali zikiwemo dawa za binadamu na za mifugo, vipodozi vyenye viambata vya sumu na vyakula, vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 38.8.