Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vipodozi feki vyaharibiwa

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imelifunga ghala la vipodozi visivyo na ubora na kuteketeza shehena yenye thamani ya Sh7 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TFDA yanasa vipodozi, vyakula feki

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa, imekamata vipodozi vilivyopigwa marufuku na vyakula vilivyokwisha muda wake wa matumizi vyenye thamani ya zaidi ya Sh27 milioni.     

 

9 years ago

Dewji Blog

Vipodozi feki vyakamatwa katika bandari ya Zanzibar!

DSC_0151

 Maafisa wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakifungua moja ya Boxi lenye Vipozi vyenye Kemikali ambavyo vimepigwa marufuku kutumika duniani baada ya kuvikama Bandarini vikitokea Marekani na Italy.

Na Miza Kona-MAELEZO

[ZANZIBAR]  Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi imekamata vipodozi haramu katika Bandari Kuu ya Malindi Zanzibar ambavyo vimepigwa marufuku kuingizwa nchini.

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari huko Ofini Mombasa Mkaguzi wa Bodi hiyo Nassir Buheti amesema vipodozi...

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kuanzisha biashara ya vipodozi

Moja ya biashara zinazovutia watu wengi ni biashara ya vipodozi. Hata hivyo wafanyabiashara wa vipodozi wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali. Baadhi ya changamoto hizi ni baadhi ya wafanyabiashara kutofahamu taratibu za kufanya biashara hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Wengi hutumia vipodozi sumu

Taasisi ya Evirocare ya jijini hapa imesema kuwa asilimia 52 ya Watanzania hutumia vipodozi vyenye sumu wengi wao wakiwa wanawake.

 

10 years ago

Habarileo

Vipodozi tishio afya za Watanzania

Vipodozi: Baadhi vimekuwa hatari kwa maisha ya wananchi.IMEELEZWA kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania, sawa na watu milioni 31.5, wako hatarini kupata magonjwa ya ngozi, kutokana na kutumia vipodozi visivyo sahihi.

 

10 years ago

Habarileo

TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi

 MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza shehena ya vipodozi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Kanda ya Kati imetekeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vya thamani ya Sh49 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vipodozi hatari vyaligharimu taifa

MKURUGENZI wa Uendeshaji Huduma kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Dk. Sikubwambo Ngendabanka, amesema matumizi ya vipodozi vyenye kemikali ni janga la kitaifa linaloisababishia serikali hasara ya mabilioni fedha...

 

11 years ago

Habarileo

Vipodozi vilivyopigwa marufuku vyauzwa Dar

LICHA ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kupiga marufuku vipodozi vyenye viambata vya sumu, vimeendelea kuuzwa katika masoko yaliyopo jijini hapa huku vingine vikiisha muda wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani