Vipodozi tishio afya za Watanzania
IMEELEZWA kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania, sawa na watu milioni 31.5, wako hatarini kupata magonjwa ya ngozi, kutokana na kutumia vipodozi visivyo sahihi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wQhBkTN_DXc/Xni4IMZSEQI/AAAAAAALkzE/G1nAlKqI3bUV9y9oljMzre_5S7Ol2FxIACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200323-WA0082.jpg)
Tasnia Ya Urembo na Vipodozi Ilivyoathirika na Tishio la Janga la Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-wQhBkTN_DXc/Xni4IMZSEQI/AAAAAAALkzE/G1nAlKqI3bUV9y9oljMzre_5S7Ol2FxIACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200323-WA0082.jpg)
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Tasnia ya urembo na vipodozi nchini imepigwa sana na tishio la Corona nchini. Ingawa serikali imetangaza kufungwa kwa vyuo vikuu na mashule, maafisa wa afya bado hawajatoa miongozo au kuamuru vizuizi vyovyote kuhusu saluni za nywele, wakiwemo vinyozi, watengenezaji kucha, makeup artists nakadhalika. Chama cha Urembo na Vipodozi Tanzania (TCA) inajitahidi kutoa elimu ya kujilinda kwa virusi vya Corona kwa wanachama wake lakini inaona gap kubwa iliyopo ambapo elimu hii yapaswa kuwafikia wenye...
10 years ago
VijimamboMawaziri wa Afya wa Zanzibar na wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wakutana na waTanzania Ujerumani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0061.jpg)
MINYOO BAPA YATAJWA KUWA TISHIO LA AFYA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0061.jpg)
Na.Vero Ignatus,Arusha
Serikali kupitia wizara ya mfugo imepokea utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa kushirikiana na chuo cha Livepol cha Uingereza na kile Bristone uingereza kuhusu athari na njia za kudhibiti magonjwa ya minyoo
Utafiti huo pia uliangazia kuwepo kwa sugu wa vimelea vya magonjwa hayo kwa dawa...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania
10 years ago
Vijimambo21 Feb
Afya za Watanzania hatarini
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/seif-rashid-jan28-2014(3)(2)(1).jpg)
Hali afya za wtanzania zipo hatarini kutokana na kasi ya kuingizwa nchini dawa zisizofaa kwa tiba asilia, kutoka nchi kadhaa za bara hususani Korea Kaskazini.
Uchunguzi wa NIPASHE Jumamosi uliofanywa kwa zaidi ya miezi mitano, umebaini kuwa dawa hizo zinaingizwa na kuuzwa nchini pasipo kuwa na maelezo mahususi, huku taarifa nyingine zikithibitisha kuwa zina ujazo wa madini yanayoizidi kiwango kinachotambulika kwa afya za watu.
Chanzo kimojawapo cha gazeti hili...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Watanzania wahimizwa kupima afya
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Watanzania waaswa kupima afya
WATANZANIA wametakiwa kuwajibika kwa ajili ya afya zao kwa kwenda hospitali kupima mara kwa mara. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Amyn Alidina, mtaalamu wa saratani katika Hospitali ya Aga Khan, alipokuwa...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Watanzania watakiwa kupima afya zao
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa jamii, Dk. Seif Rashid, amewataka Watanzania kujijengea utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara badala ya kusubiri wafikie dalili za ugonjwa hatua mbaya....
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ukosefu wa ajira unahatarisha afya za Watanzania