Mawaziri wa Afya wa Zanzibar na wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wakutana na waTanzania Ujerumani
Waziri wa afya na ustawi wa jamii wa Jamuhuri ya muungano Mhe.Bw.Seif Rashid na waziri wa afya wa Zanzibar Mhe. Rashid Seif Suleiman, Siku ya jumapili 25 januari 2015 walikutana na kuongea na baadhi ya watanzania waishio nchini ujerumani katika hoteli ya Martim Hotel mjini Berlin,mawaziri hao kwa pamoja waliongozana na balozi Tanzania nchini Ujerumani mheshimiwa Bw.Philip Malmo,katika mkutano huo mawaziri hao wote walielezea jinsi wizara zao zinavyofanya kazi kuhakikisha kuwa huduma za afya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MAWAZIRI WA AFYA SADC WAKUTANA DAR KUJADILI UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s1600/index.png)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
MAWAZIRI wa sekta ya afya kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Nchi za Maendeleo ya Kusini mwa Afrika( SADC) wamekutana jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu kwa siku ya leo Machi 9 mwaka 2020 ikiwa ni kujadili mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona duniani.
Ugonjwa huo ambao uligundulika mwaka jana nchini China katika Jiji la Wuhan lililopo Jimbo la Hubei na kupewa jina la COVID-19, hadi kufikia jana umeshaua zaidi ya watu 3,800 duniani huku 100,008 wakiwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA KAMATI ZA AFYA ZA SHEHIYA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA MIKAKATI YA AFYA YA JAMII ZANZIBAR
Amesema kuwa endapo mpango huo ukihamasishwa kwa jamii utaweza kuwasaidia wananchi katika kujikwamua na matatizo ya kujikinga na maradhi mbalimbali yanayojitokeza katika maeneo yao .
Akizungungumza katika ufunguzi wa mafunzo juu ya mkakati wa afya ya jamii...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AFANYA ZIARA KATIKA WITUO VYA AFYA MKOA WA KASKAZINI ''A'' UNGUJA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGA MAFUNZO YA SIKU 10 YA MFUMO WA UKUSANYAJI TAARIFA ZA AFYA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s72-c/New+Picture+(4).png)
Mkutano wa tisa wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamalizika katika ngazi ya wataalamu mjini Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s1600/New+Picture+(4).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/--H6G0S55TSE/U075yNsA0QI/AAAAAAAFbbA/Ysq-fpb33x0/s1600/New+Picture+(5).png)
5 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ZANZIBAR APOKEA VIFAA MBALI MBALI VYA AFYA KUTOKA KWA MFANYA BIASHARA SAID NASSIR NASOR (BOPER)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--VL6mdmq2KM/VWWblDrWSHI/AAAAAAAA-Rs/S7GR3YhS784/s72-c/061.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA SIKU TATU WA MABALOZI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/--VL6mdmq2KM/VWWblDrWSHI/AAAAAAAA-Rs/S7GR3YhS784/s640/061.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFdeIxQPA3c/VWWblfJSyqI/AAAAAAAA-Rw/62pHs9PZ4GU/s640/087.jpg)