Mkutano wa tisa wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamalizika katika ngazi ya wataalamu mjini Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s72-c/New+Picture+(4).png)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Amantius C. Msole akifuatilia kwa jambo kwa makini wakati wa mkutano wa Kisekta Baraza la Mawaziri wa Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaoendelea katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort mjini Unguja Zanzibar. Mkutano huo unaendelea katika ngazi ya Makatibu Wakuu.
Wajumbe wa Mkutano wa Kisekta wa Baraza la Mawaziri wa Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiendelea na majadiliano ya Mkutano huo unaoendelea katika ukumbi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara kutoka Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Abdulla Makame Akiwaeleza waandishi wa Habari(hawapo pichani) Kuhusu Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Septemba 20 mwaka huu Jijini Arusha. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Anthony Ishengoma.(Picha na Hassan Silayo).
Frank Mvungi- Maelezo
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NPMFu4AjIBQ/XtZlbenN9uI/AAAAAAALsWE/_3LzFQqFmkEKJyOKYGeBdcv4WHjFLPC7gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MKUTANO MAALUM WA 41 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI TAREHE 4 – 5 JUNI, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NPMFu4AjIBQ/XtZlbenN9uI/AAAAAAALsWE/_3LzFQqFmkEKJyOKYGeBdcv4WHjFLPC7gCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Mkutano Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika tarehe 4 na 5 Juni 2020 kwa njia ya mtandao (Video Conference). Mkutano utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.
Mkutano huo Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, utaanza kwa mkutano wa ngazi ya wataalam tarehe 4 Juni, 2020 na kufuatiwa na mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu tarehe 5 Juni 2020 na kisha kufuatiwa na mkutano wa Baraza...
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0eN_DBCrkFQ/U14M0dm1zyI/AAAAAAAFdo8/ZwsqE78KAJI/s72-c/IMG_0704.jpg)
MKUTANO WA DHARULA WA 29 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAENDELEA LEO JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0eN_DBCrkFQ/U14M0dm1zyI/AAAAAAAFdo8/ZwsqE78KAJI/s1600/IMG_0704.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WW4TxRWEZEo/U14M0_f1mHI/AAAAAAAFdpI/NcsjIrJ_37Q/s1600/IMG_0715.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTEb9k4b95Y/VHjUvvkhWjI/AAAAAAAG0Ao/9RZCVSS_0wo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Tanzania yachukua Rasimi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
MichuziMKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA AFRIKA MASHARIKI WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI SILIMA AONGOZA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA PEMBE YA AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA KUZUIA NA KUDHIBITI UZAGAAJI WA SILAHA HARAMU (RECSA), ZANZIBAR LEO
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA 16 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI NAIROBI,KENYA, KATIKA PICHA