MKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA AFRIKA MASHARIKI WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb.) akifungua Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki ambao pamoja na mambo mengine utapokea na kujadili taarifa ya ziara ya Mawaziri nchini Burundi kuhusu hali ya kisisasa nchini humo. Mkutano huo ambao ni maandalizi ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi utakaofanyika tarehe 06 Julai, 2015, umefanyika kwenye Hoteli ya Serena,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA EAC WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara kutoka Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Abdulla Makame Akiwaeleza waandishi wa Habari(hawapo pichani) Kuhusu Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Septemba 20 mwaka huu Jijini Arusha. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Anthony Ishengoma.(Picha na Hassan Silayo).
Frank Mvungi- Maelezo
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NPMFu4AjIBQ/XtZlbenN9uI/AAAAAAALsWE/_3LzFQqFmkEKJyOKYGeBdcv4WHjFLPC7gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MKUTANO MAALUM WA 41 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI TAREHE 4 – 5 JUNI, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NPMFu4AjIBQ/XtZlbenN9uI/AAAAAAALsWE/_3LzFQqFmkEKJyOKYGeBdcv4WHjFLPC7gCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Mkutano Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika tarehe 4 na 5 Juni 2020 kwa njia ya mtandao (Video Conference). Mkutano utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.
Mkutano huo Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, utaanza kwa mkutano wa ngazi ya wataalam tarehe 4 Juni, 2020 na kufuatiwa na mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu tarehe 5 Juni 2020 na kisha kufuatiwa na mkutano wa Baraza...
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0eN_DBCrkFQ/U14M0dm1zyI/AAAAAAAFdo8/ZwsqE78KAJI/s72-c/IMG_0704.jpg)
MKUTANO WA DHARULA WA 29 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAENDELEA LEO JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0eN_DBCrkFQ/U14M0dm1zyI/AAAAAAAFdo8/ZwsqE78KAJI/s1600/IMG_0704.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WW4TxRWEZEo/U14M0_f1mHI/AAAAAAAFdpI/NcsjIrJ_37Q/s1600/IMG_0715.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s72-c/New+Picture+(4).png)
Mkutano wa tisa wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamalizika katika ngazi ya wataalamu mjini Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s1600/New+Picture+(4).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/--H6G0S55TSE/U075yNsA0QI/AAAAAAAFbbA/Ysq-fpb33x0/s1600/New+Picture+(5).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--ZSVSPoZnd8/XvDB5HHE1LI/AAAAAAALu-E/dmZ-5dXMQPkeOgf8c9_x7McoK8PlsJxUwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B3.17.10%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gGYwAZ7Br8k/VCB007ZkWII/AAAAAAAGlHM/bn9jANbngxI/s72-c/unnamed.jpg)
mkutano wa siku tano wa Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki wafunguliwa mjini Kigali,Rwanda
![](http://4.bp.blogspot.com/-gGYwAZ7Br8k/VCB007ZkWII/AAAAAAAGlHM/bn9jANbngxI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5n7AbzsSVLw/VCB01oE4o1I/AAAAAAAGlHQ/T1GZPcd-Jyk/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mkutano wa Takwimu wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wafanyika jijini Dar Es Salaam
![NBS -2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/NBS-2.jpg)
![NBS-3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/NBS-3.jpg)