MKUTANO WA DHARULA WA 29 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAENDELEA LEO JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0eN_DBCrkFQ/U14M0dm1zyI/AAAAAAAFdo8/ZwsqE78KAJI/s72-c/IMG_0704.jpg)
Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Mh. Samuel Sitta akiwa katika kikao cha Nchi cha ushauri na makatibu wakuu wa Wizara hawapo pichani leo asubuhi kujiandaa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baadae leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo katikati na Naibu Katibu Wizara ya Fedha Profesa Adoft F. Mkenda pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa kwanza kushoto ndugu Amatius C. Msole...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara kutoka Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Abdulla Makame Akiwaeleza waandishi wa Habari(hawapo pichani) Kuhusu Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Septemba 20 mwaka huu Jijini Arusha. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Anthony Ishengoma.(Picha na Hassan Silayo).
Frank Mvungi- Maelezo
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya...
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NPMFu4AjIBQ/XtZlbenN9uI/AAAAAAALsWE/_3LzFQqFmkEKJyOKYGeBdcv4WHjFLPC7gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MKUTANO MAALUM WA 41 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI TAREHE 4 – 5 JUNI, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NPMFu4AjIBQ/XtZlbenN9uI/AAAAAAALsWE/_3LzFQqFmkEKJyOKYGeBdcv4WHjFLPC7gCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Mkutano Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika tarehe 4 na 5 Juni 2020 kwa njia ya mtandao (Video Conference). Mkutano utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara uliopo Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.
Mkutano huo Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, utaanza kwa mkutano wa ngazi ya wataalam tarehe 4 Juni, 2020 na kufuatiwa na mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu tarehe 5 Juni 2020 na kisha kufuatiwa na mkutano wa Baraza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s72-c/New+Picture+(4).png)
Mkutano wa tisa wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamalizika katika ngazi ya wataalamu mjini Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ9q_lK8LQg/U075YAa94FI/AAAAAAAFba4/ClvagYdEkhE/s1600/New+Picture+(4).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/--H6G0S55TSE/U075yNsA0QI/AAAAAAAFbbA/Ysq-fpb33x0/s1600/New+Picture+(5).png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7bdOJXJ6Ff4/U2HZrsurrsI/AAAAAAAFeNs/bv7BQlLp7Bc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Taswira za Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya afrika mashariki jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-7bdOJXJ6Ff4/U2HZrsurrsI/AAAAAAAFeNs/bv7BQlLp7Bc/s1600/unnamed+(22).jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-7bdOJXJ6Ff4/U2HZrsurrsI/AAAAAAAFeNs/bv7BQlLp7Bc/s1600/unnamed+%2822%29.jpg)
MKUTANO WA 12 WA SIKU MOJA WA VIONGOZI WAKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTEb9k4b95Y/VHjUvvkhWjI/AAAAAAAG0Ao/9RZCVSS_0wo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Tanzania yachukua Rasimi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI