MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na. Paschal Dotto-MAELEZOJumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), imesema imejiandaa kikamilifu kukabiliana na ugonjwa wa homa ya Virusi vya Corona (Covid-19) ambao umezidi kusambaa duniani na kwamba mikakati madhubuti imeweka tayari kwa kutoa elimu ya kutosha jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo kwa wananchi wa ukanda huo wa Afrika.
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MAWAZIRI WA AFYA SADC WAKUTANA DAR KUJADILI UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s1600/index.png)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
MAWAZIRI wa sekta ya afya kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Nchi za Maendeleo ya Kusini mwa Afrika( SADC) wamekutana jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu kwa siku ya leo Machi 9 mwaka 2020 ikiwa ni kujadili mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona duniani.
Ugonjwa huo ambao uligundulika mwaka jana nchini China katika Jiji la Wuhan lililopo Jimbo la Hubei na kupewa jina la COVID-19, hadi kufikia jana umeshaua zaidi ya watu 3,800 duniani huku 100,008 wakiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s640/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...
5 years ago
MichuziVIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).
Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...
10 years ago
Michuzi13 Nov
WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA WAKUTANA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO NCHINI
![](https://4.bp.blogspot.com/-ay8G_yplW7M/VGSHZhCggfI/AAAAAAAGw5k/5rZ7lAeR95A/s640/unnamed%2B(98).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-j5fMPNzgTq8/VGSHaPy9KvI/AAAAAAAGw5o/r5C03qkBImA/s640/unnamed%2B(99).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-cWGRtxNKf8U/VGSHcHY5H1I/AAAAAAAGw50/sNkGF-GyM1E/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/Wajumbe-wa-Mkutano-kati-ya-Utepe-Mweupe-na-PM-wakiwa-katika-picha-ya-pamoja-na-Waziri-Mkuu-Mh-Mizengo-Pinda.jpg?width=613)
MUUNGANO WA UTEPE MWEUPE WAKUTANA WAZIRI MKUU PINDA, KUJADILI NAMNA YA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Kwa miaka 20 nimekuwa nikijitayarisha kukabiliana na ugonjwa huu