WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA WAKUTANA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO NCHINI
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA)Charles M. Chacha (Kushoto), akiteta jambo na mmiliki wa kampuni ya Tran World ya nchini Dubai Mr. Adil Jadid kulia) wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya usafiri wa anga Tanzania. Mkutano huo unatoa fursa za kujadili maendeleo ya sekta hiyo nchini . Mkutano ulifanyika makao makuu ya Mamlaka ya usafiri wa Anga jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mjumbe wa Bodi wa TCAA Yussuf Mohammed Ally.
Baadhi ya wadau wa sekta ya usafiri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Forum CC wakutana na wadau kujadili fedha za utafiti zinazopelekwa sekta ya Kilimo na mifugo nchini
Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika jana jijini Dar.
Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi.
Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gTluFN2a4mg/XlLcbpRwB2I/AAAAAAALe8Y/-raTNItJdVU6J1qBiEv-MndVydSZuSxhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0667AA-1024x656.jpg)
MCHANGO WA SEKTA YA MADINI UMEZIDI KUIMARIKA NCHINI, SERIKALI TUNAFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA SEKTA HIYO- WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema mchango wa sekta ya madini umezidi kuimarika hapa nchini na kwamba Serikali kwa upande wake imeridhishwa na utendaji kazi wa sekta hiyo kupitia Wizara ya Madini.
Ameyasema hayo leo Februari 23,2020 wakati akizungumza na wawekezaji katika sekta ya madini hapa nchini mkutano uliofanyika katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere(JNICC), jinini Dar es Salaam leo.
Amefafanua kuwa sekta ya madini hapa nchini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Wanawake wakiafrika wahamasishwa kujiunga na sekta ya usafiri wa anga
Rubani mwanamke, Anne-Marie Lewis.
Pamoja na kwamba uwepo wa wanawake katika sekta ya usafiri wa anga bado ni mdogo, uwezo wa kuwa viongozi katika usafiri wa anga hauna mwiko. Wanawake barani Afrika hawapaswi kuogopa kuwa sehemu ya sekta hii inayokua barani kote. Hayo ni maneno kutoka kwa rubani mwanamke wa kwanza kuongoza ndege aina ya Airbus A380 inayomilikiwa na kampuni la fastjet Tanzania, rubani Anne-Marie Lewis, ambaye huongoza ndege hii ya Airbus katika mikoa ya Tanzania na nchi...
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
11 years ago
Michuzi18 Jun
WADAU WA SEKTA YA MAWASILIANO WAKUTANA ARUSHA
![IMG-20140618-WA0010](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aDCDfdwJ8YXoXfIzFZsQ5T33LORI5uY2mj-IcvSVq0-QohkwMQrbnM-9aqaF-ULoc4tZo7j3YdxaUog9cdpnNPBNN6fUDWKuj_Dp7SH2FSmFiaUgDo2qo43_78jQRIaZtMI0CpIn3ViQeQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0010.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/j5HosH99XxJjQsRFt7CNEujv-tpM79t15EL5v45a3zPJvGuNq5g6auDB7YU7inxfGjdlvO9QPr0ifGGmL5vt2jW3_NNIMkOEs0YvbhJ6VCrGHI-lz7BeH0CdfTaAYb9Eik4DU4_IPgouGQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0004.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0001](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/f1rdb-x_Mm19x2jQNagEkB5L8GmhAXyFDCxykgVBVGUe9tOSeJvaJldHIDpwWk37dSO6suiI7kvJ2LoaRwgevnl1OGgWJ51-xiB4f5dSj87VqmzVmi_EzkuE_bCxg5o2Az4s_niy3URXAA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0001.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0005](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/MIA3otrOVcxTAOm0Ah7wInonhFG6TfFx_vKY8KXq9ZnfjRtDyxvUHcy183rLM5qrBmCuGQylvtdba8O6S1F0JyNiwh36f7Z9vMptgUcvjNFQCROxmcFpMBkp8oEAwewZL-8euU6YDhRHwQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0005.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0012](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/qG_3249NkPPkrTk-6tVASvzf5Lx5FvMzKjOcvl5AvHJJdFUZjut-ijo-WTBG31Gj1H7t5fXQISHcgu9WJRLhXbdzjbcyBTh0zaQmOzNQZMo-V0qSF_7KdhAEPGFXsDwMwecOoaG-2oc4FA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0012.jpg?w=1254&h=940)
Wadau zaidi ya mia moja kutoka taasisi za mamlaka ya mawasiliano Afrika Mashariki (EACO} wamekutana jijini Arusha ili kuangalia namna ya...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...