DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza hali ya dharura na kuufunga mji mkuu wa Kinshasa kujitenga katika hatua ya kupambana naa maambukizi ya virusi vya Corona.
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZSPJSna_Jic/XmouUePTI6I/AAAAAAALixg/-U3Pdy99Mrsp-Rxcx9MdNgloSKTFTL2IQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7fac59541c91m71u_800C450.jpg)
Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZSPJSna_Jic/XmouUePTI6I/AAAAAAALixg/-U3Pdy99Mrsp-Rxcx9MdNgloSKTFTL2IQCLcBGAsYHQ/s640/4bv7fac59541c91m71u_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, wakuu wa jiji la Washington DC wametangaza hali ya hatari katika jiji hilo na kupiga marufuku mikusanyiko ya watu wanaozidi elfu moja.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi za maafisa wa afya wa Marekani, hadi hivi sasa zaidi ya watu elfu moja na mia moja wameambukizwa virusi vya corona...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
DRC YATANGAZA HALI YA HARI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0Wtz6eh9Lo/XnurpXWRzTI/AAAAAAALlDk/7q329QomYDUF4OpLR76xpl76BX4dZyWrgCLcBGAsYHQ/s640/4bsn82d4e2c1b61jd24_800C450.jpg)
Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.
Mpaka sasa Jamhuri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Kwa miaka 20 nimekuwa nikijitayarisha kukabiliana na ugonjwa huu
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: Dawa ya Covid-19 inayolenga kukabiliana na kuganda kwa damu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z-yabrVVRq8/XnkQntw2B2I/AAAAAAALk3Q/NBBbRn9udYEvGEta-ObIf6mBa6PAifJKACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72a233d47ac1meu8_800C450.jpg)
Mfuko wa kimataifa kuanzishwa kwa ajili ya kuwasaidia waathiriwa wa virusi vya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z-yabrVVRq8/XnkQntw2B2I/AAAAAAALk3Q/NBBbRn9udYEvGEta-ObIf6mBa6PAifJKACLcBGAsYHQ/s640/4bv72a233d47ac1meu8_800C450.jpg)
Taarifa iliyotolewa na Ine Eriksen Søreide imesema kuwa, mfuko huo utazishirikisha jumuiya na taasisi wafadhili chini ya Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuzidisha juhudi za kimataifa za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona na kuwasaidia watu walioambukizwa virusi hivyo.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, tangazo rasmi la...