Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Dawa ya Covid-19 inayolenga kukabiliana na kuganda kwa damu

Wanasayansi wa Imperial College London wanaamini kwamba matatizo ya homoni huenda kunachangia kuganda kwa damu kwa wagonjwa wa Covid-19.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu

Wongonjwa wengi ambao wamekuwa na tatizo la damu kuganda katika mishipa wamekuwa wakitumia dawa za kujaribu kuyeyusha damu hiyo na kufanya tatizo hilo lisilo la kawaida kuwa la kipekee.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir

Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Remdesivir: Dawa yenye 'nguvu' za kukabiliana na virusi vya corona

Data hiyo inatokana na vipimo dhidi ya dalili za ugonjwa huo miongoni mwa zaidi ya wagonjwa 1000 nchini Marekani

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Makundi ya kidini yanayopinga hatua za kukabiliana na Covid-19

Kuanzia Kusini hadi Amerika Kaskazini makundi mbalimbali ya Kievanjelisti yalikuwa yanaongoza kati ya yale yanayokiuka hatua ya kutokaribiana kama njia ya kukabiliana na janga la corona ambalo linaendelea kusababisha maafa makubwa katika bara hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madaktari wataja mchanganyiko wa dawa unaoweza kutibu Covid-19

Dkt John Wright kutoka Bradford Royal Infirmary (BRI) anaelezea baadhi ya majaribio yanayoendelea kwa ajili ya kupata tiba ya Covid-19, na mchanganyiko wa aina tatu za dawa ambazo zinaweza kuwa ufunguo wa tiba ya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hatari ya dawa ya hydroxychloroquine inayotumiwa na watu kutibu Covid -19

Shirika hilo limeonya kwamba utumiaji wa dawa ya chloroquine au hydroxychloroquine bila kufuata mwongozo kunaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo kuumwa kupita kiasi au kifo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19

June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?

Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani