Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?

Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: ''Dawa'' ya Madagascar inayoaminiwa kutibu virusi itachunguzwa zaidi

Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Paramagamba Kabudi kwenda Madagascar kuichukua dawa ya mititishamba inayoaminiwa kuwa inaweza kukinga na kutibu Covid-19, Tanzania imesema dawa hiyo itachunguzwa zaidi

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Senegal yakanusha kuagiza dawa ya mitishamba kutoka Madagascar

Senegali imekanusha madai kwamba imeagiza kile ambacho kinasemekana ni dawa ya virusi vya corona huko Madagascar

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba

Rais wa Madagascar Rajoelina amesema kwamba wakosoaji wa dawa ya mitishamba kutoka taifa hilo wanaikosoa kwasababu ya ubwenyenye

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi na uchunguzi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar

Umoja wa Afrika (AU) unafanya mazungumzo na Jamuhuri ya Madagascar, ili kupata data za kiufundi kuhusu usalama na ufanisi wa dawa ya mitishamba iliyotangazwa hivi karibuni ambayo ilidai inazuwia kutibu Covi-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?

Dawa ya asili ya Covid-19 ambayo imetengenezwa nchini Madagascar na kutangazwa na rais Andry Rajoelina imezua mijadala kuhusu matumizi ya dawa za mitishamba barani Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je dawa za malaria zinaweza kutibu corona pia

Jaribio la matumizi ya dawa za malaria kuona kama zinaweza kuzuia ugonjwa wa Corona limeanza nchini Uingereza katika mji wa Brighton na Oxford.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona

Rais Trump atetea dawa ya hydroxychloroquine licha ya shirika la FDA kusema hakuna ushahidi kuwa dawa hii inatibu corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona

Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani