Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?
Dawa ya asili ya Covid-19 ambayo imetengenezwa nchini Madagascar na kutangazwa na rais Andry Rajoelina imezua mijadala kuhusu matumizi ya dawa za mitishamba barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?
Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
Katikati ya mwezi Machi mwaka huu nchi ya Malaysia ilifunga mashule, ofisi na sehemu za ibada katika juhudi za kupambana kuenea virusi vya corona, baada ya kubaini mikusanyiko katika misikiti ilichangia pakubwa kuripuka kwa ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania
Wakati serikali zote duniani zimeendelea kujifunza namna sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, zipo zinazosifika na zile zinazokosolewa kwa namna zinavyopambana na Corona.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona
Jinsi Sweden inavyotumia mbinu ya ajabu kupambana na maambukizi ya corona.
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya Corona: Mapambano dhidi ya Corona DRC
Makala inayoonyesha kwa picha changamoto ambazo raia wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanakabiliana nazo katika mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko kwa mwaka 2020.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s72-c/52395243_303.jpg)
MATUMAINI YAANZA KUONEKANA ULAYA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s640/52395243_303.jpg)
Haya yanakuja wakati ambapo idadi ya vifo Marekani inaelekea kufikia watu elfu kumi.
Virusi vya corona vimeuathiri karibu ulimwengu mzima na kuwapelekea karibu nusu ya watu duniani kusalia majumbani na kupelekea vifo vya karibu watu sabini elfu.
Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, hapo jana alitoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s640/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba
Rais wa Madagascar Rajoelina amesema kwamba wakosoaji wa dawa ya mitishamba kutoka taifa hilo wanaikosoa kwasababu ya ubwenyenye
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Senegal yakanusha kuagiza dawa ya mitishamba kutoka Madagascar
Senegali imekanusha madai kwamba imeagiza kile ambacho kinasemekana ni dawa ya virusi vya corona huko Madagascar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania