MATUMAINI YAANZA KUONEKANA ULAYA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

Mataifa ya Ulaya yaliyoathirika zaidi na virusi vya corona yameanza kuona dalili ndogo za matumaini katika mapambano dhidi ya virusi hivyo leo ila Marekani inajiandaa kwa hali mbaya zaidi.
Haya yanakuja wakati ambapo idadi ya vifo Marekani inaelekea kufikia watu elfu kumi.
Virusi vya corona vimeuathiri karibu ulimwengu mzima na kuwapelekea karibu nusu ya watu duniani kusalia majumbani na kupelekea vifo vya karibu watu sabini elfu.
Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, hapo jana alitoa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?
5 years ago
Michuzi
WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya Corona: Mapambano dhidi ya Corona DRC
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya
5 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA



KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.
Pia GGML imezindua mikakati...