WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
WAUMINI 4,000 waliopona corona (covid 19) nchini korea kusini wajitolea Kutoa utegili(plasma) yenye thamani ya trilioni 192 na bilioni 394 za kitanzania kwa ajili ya tiba ya corona.
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s72-c/52395243_303.jpg)
MATUMAINI YAANZA KUONEKANA ULAYA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s640/52395243_303.jpg)
Haya yanakuja wakati ambapo idadi ya vifo Marekani inaelekea kufikia watu elfu kumi.
Virusi vya corona vimeuathiri karibu ulimwengu mzima na kuwapelekea karibu nusu ya watu duniani kusalia majumbani na kupelekea vifo vya karibu watu sabini elfu.
Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, hapo jana alitoa...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya Corona: Mapambano dhidi ya Corona DRC
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s72-c/lhrc%2Bcorona.jpeg)
LHRC WACHANGIA VIFAA KINGA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s640/lhrc%2Bcorona.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akiwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume wakati wa makabidhiano ya vifaa kinga.
Katika kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuendelea kutoa elimu kwa umma juu ya namna ya kukabiliana na maambukizi.
Maambukizi ya virusi vya corona yanaathiri haki za msingi ikiwemo haki ya kuishi, haki ya kufanya kazi na kupata ujira, haki...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi