Virusi vya corona: Makundi ya kidini yanayopinga hatua za kukabiliana na Covid-19
Kuanzia Kusini hadi Amerika Kaskazini makundi mbalimbali ya Kievanjelisti yalikuwa yanaongoza kati ya yale yanayokiuka hatua ya kutokaribiana kama njia ya kukabiliana na janga la corona ambalo linaendelea kusababisha maafa makubwa katika bara hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: Dawa ya Covid-19 inayolenga kukabiliana na kuganda kwa damu
Wanasayansi wa Imperial College London wanaamini kwamba matatizo ya homoni huenda kunachangia kuganda kwa damu kwa wagonjwa wa Covid-19.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-688gDdE8XCE/XntrMp_N7zI/AAAAAAALlA8/X5wDULOKjisVMirWwLmkAElfzz7JTWkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0ac0cdc6-8372-4b7d-9515-d183e1fcd04f.jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI ARIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA TANESCO MKOANI MOROGORO KATIKA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
NAIBU Waziri wa Nishati Subiri Mgalu ameamua kufanya ziara ya kushtukiza katika ofisi Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Morogoro kwa lengo la kuuangalia kama maelezo yote ambayo yametolewa na Serikali kwa ajili ya kujinga na maambukizi ya virusi vya COVID-19 (CORONA) kama yamezingatiwa.
Angalau amefanya ziara hiyo leo Machi 25 mwaka 2020 na akiwa kwenye ofisi hizo za TANESCO mkoani Morogoro amepata nafasi ya kuangalia sehemu ambazo zimetengwa kwa ajili kunawa mikono kwa wateja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
Katikati ya mwezi Machi mwaka huu nchi ya Malaysia ilifunga mashule, ofisi na sehemu za ibada katika juhudi za kupambana kuenea virusi vya corona, baada ya kubaini mikusanyiko katika misikiti ilichangia pakubwa kuripuka kwa ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19
June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir
Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Je Marekani itaweza kukabiliana na virusi vilivyoingia White House?
Wafanyakazi wa Ikulu ya White House wameagizwa kuvaa barakoa wakati wanapoingia jengo la ofisi zake zinazofahamika kama -West Wing, baada ya wasaidizi wawili kupatwa na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
Ndege za mizigo pekee ndizo ambazo zitaruhusiwa kuingia nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania