NAIBU WAZIRI WA NISHATI ARIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA TANESCO MKOANI MOROGORO KATIKA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-688gDdE8XCE/XntrMp_N7zI/AAAAAAALlA8/X5wDULOKjisVMirWwLmkAElfzz7JTWkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0ac0cdc6-8372-4b7d-9515-d183e1fcd04f.jpg)
NAIBU Waziri wa Nishati Subiri Mgalu ameamua kufanya ziara ya kushtukiza katika ofisi Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Morogoro kwa lengo la kuuangalia kama maelezo yote ambayo yametolewa na Serikali kwa ajili ya kujinga na maambukizi ya virusi vya COVID-19 (CORONA) kama yamezingatiwa.
Angalau amefanya ziara hiyo leo Machi 25 mwaka 2020 na akiwa kwenye ofisi hizo za TANESCO mkoani Morogoro amepata nafasi ya kuangalia sehemu ambazo zimetengwa kwa ajili kunawa mikono kwa wateja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Pzz4WNhR090/XrkfuK_ZTkI/AAAAAAALpu0/AQxCEH-W_wkoRgCnnjB3kK1E-R9UjZO8QCLcBGAsYHQ/s72-c/MIGIRO.jpg)
BALOZI DK.ASHA-ROSE MIGORO APONGEZA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA RAIS MAGUFULI KATIKA KUKABILIANA NA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pzz4WNhR090/XrkfuK_ZTkI/AAAAAAALpu0/AQxCEH-W_wkoRgCnnjB3kK1E-R9UjZO8QCLcBGAsYHQ/s400/MIGIRO.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amepongeza hatua ambazo zimechukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk.John Magufuli katika kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19 ikiwemo ya kutoweka nchi kwenye 'Lockdown'.
Dk.Migiro amesema katika kukabiliana na Corona kila nchi iliamua kuchukua hatua kulingana na mazingira yake huku akifafafanua kwa...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Obama asema hatua zilizochukuliwa na Trump ni kama 'janga la machafuko'
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Makundi ya kidini yanayopinga hatua za kukabiliana na Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
5 years ago
BBCSwahili23 May
Mbwa anayesaidia katika kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Virusi vya corona: Uhasama kati ya Marekani na China wajitokeza katika kukabiliana na mlipuko huo Afrika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MRBtiNDAO7o/XnMCy5jeYmI/AAAAAAALkYk/8l89aFFCN8gcz0BURGVmy3RSFgV8g9R9gCLcBGAsYHQ/s72-c/1938f9fe-b097-4db5-80f5-8cf5943b1e36.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO
SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...