Virusi vya corona: Uhasama kati ya Marekani na China wajitokeza katika kukabiliana na mlipuko huo Afrika
Bara la Afrika linaendelea kuwa ulingo wa vita baridi kati ya Washington na Beijing.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Mapambano ya nyuma ya pazia kati ya Marekani na China baada ya mlipuko wa virusi vya corona
Virusi vya corona vinaweza kuthibitisha kati ya mataifa hayo yenye nguvu duniani nani anapaswa kuwa juu ya mwingine
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya Corona: Obama asema uongozi wa Trump umefeli kukabiliana na ugonjwa huo
Aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama kwa mara nyingine tena amemkosoa mrithi wake Donald Trump anavyoshughulikia janga la virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Je Marekani itaweza kukabiliana na virusi vilivyoingia White House?
Wafanyakazi wa Ikulu ya White House wameagizwa kuvaa barakoa wakati wanapoingia jengo la ofisi zake zinazofahamika kama -West Wing, baada ya wasaidizi wawili kupatwa na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?
Watengenezaji magari nchini China wanaangazia wasiwasi wa kiafya kupitia uzinduzi wa magari ambayo yana huduma za kukabiliana na virusi vya virusi.
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Majimbo 50 ya Marekani yakumbwa mlipuko wa virusi vya corona
Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagonimeahidi kuhakikisha kunakua na uwepo wa barakoa na vifaa vya kupumulia, huku Jiji la New York likiwa limefunga shughuli zake.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: WHO iliwacha mlipuko 'ukashindwa kudhibitika', yasema Marekani
Waziri wa Afya nchini Marekani Alex Azar amelishutumu shirika hilo la Afya la Umoja wa Mataifa kwa kufeli kupata data muhimu
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Coronavirus: Hakuna mabadiliko ya mlipuko wa virusi vya corona licha ya kuongezeka China, kulingana na WHO
Visa vya uogonjwa wa Coronavirus haviongezeki kwa kiwango cha juu nje ya China licha ya ongezeko la ugonjwa huo katika mkoa wa Hubei , kulingana na shirika la afya duniani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania