Coronavirus: Majimbo 50 ya Marekani yakumbwa mlipuko wa virusi vya corona
Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagonimeahidi kuhakikisha kunakua na uwepo wa barakoa na vifaa vya kupumulia, huku Jiji la New York likiwa limefunga shughuli zake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Mapambano ya nyuma ya pazia kati ya Marekani na China baada ya mlipuko wa virusi vya corona
Virusi vya corona vinaweza kuthibitisha kati ya mataifa hayo yenye nguvu duniani nani anapaswa kuwa juu ya mwingine
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: WHO iliwacha mlipuko 'ukashindwa kudhibitika', yasema Marekani
Waziri wa Afya nchini Marekani Alex Azar amelishutumu shirika hilo la Afya la Umoja wa Mataifa kwa kufeli kupata data muhimu
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: Je, ni nani anayefaidika kifedha na mlipuko wa virusi vya corona?
Sio kampuni zote zimepata hasara kufuatia kusambaa kwa ugonja wa virusi vya corona kote duniani pamoja na kushuka kwa hisa katika masoko mengi duniani siku za hivi karibuni.
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Coronavirus: Hakuna mabadiliko ya mlipuko wa virusi vya corona licha ya kuongezeka China, kulingana na WHO
Visa vya uogonjwa wa Coronavirus haviongezeki kwa kiwango cha juu nje ya China licha ya ongezeko la ugonjwa huo katika mkoa wa Hubei , kulingana na shirika la afya duniani.
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Virusi vya corona: Uhasama kati ya Marekani na China wajitokeza katika kukabiliana na mlipuko huo Afrika
Bara la Afrika linaendelea kuwa ulingo wa vita baridi kati ya Washington na Beijing.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
Ushauri wa kulinda afya ya akili wakati huu wa mlipuko wa virusi corona.
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania