Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani

Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'

Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya kukabiliana na maradhi hayo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani

Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Karibia vifo 60,000 vyarekodiwa Marekani pekee

Marekani yaweka rekodi mpya duniani ya idadi ya watu waliomabukizwa ugonjwa wa Covid-19

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Vifo vyazidi 2,000 kwa siku moja Marekani

Marekani kwa sasa ina visa nusu milioni vya virusi vya corona vilivyothibitishwa lakini mlipuko unaweza kuwa wa kiwango cha chini hivi karibuni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani

Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona

Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Brazil ni nchi ya pili iliyopitisha vifo 50,000

Ongezeko la mzozo wa kisiasa limechangia masaibu ya Brazil, siku kadhaa baada ya kuthibitishwa kuwa zaidi ya watu miulioni moja wanaugua Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Majimbo 50 ya Marekani yakumbwa mlipuko wa virusi vya corona

Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagonimeahidi kuhakikisha kunakua na uwepo wa barakoa na vifaa vya kupumulia, huku Jiji la New York likiwa limefunga shughuli zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani