Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'
Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya kukabiliana na maradhi hayo.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Karibia vifo 60,000 vyarekodiwa Marekani pekee
Marekani yaweka rekodi mpya duniani ya idadi ya watu waliomabukizwa ugonjwa wa Covid-19
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya Corona: Vifo vyazidi 2,000 kwa siku moja Marekani
Marekani kwa sasa ina visa nusu milioni vya virusi vya corona vilivyothibitishwa lakini mlipuko unaweza kuwa wa kiwango cha chini hivi karibuni.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani
Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Virusi vya corona: Brazil ni nchi ya pili iliyopitisha vifo 50,000
Ongezeko la mzozo wa kisiasa limechangia masaibu ya Brazil, siku kadhaa baada ya kuthibitishwa kuwa zaidi ya watu miulioni moja wanaugua Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Majimbo 50 ya Marekani yakumbwa mlipuko wa virusi vya corona
Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagonimeahidi kuhakikisha kunakua na uwepo wa barakoa na vifaa vya kupumulia, huku Jiji la New York likiwa limefunga shughuli zake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania