Virusi vya Corona: Vifo vyazidi 2,000 kwa siku moja Marekani
Marekani kwa sasa ina visa nusu milioni vya virusi vya corona vilivyothibitishwa lakini mlipuko unaweza kuwa wa kiwango cha chini hivi karibuni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Karibia vifo 60,000 vyarekodiwa Marekani pekee
Marekani yaweka rekodi mpya duniani ya idadi ya watu waliomabukizwa ugonjwa wa Covid-19
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
Kenya imerekodi idadi kubwa ya maambukizi ya corona kwa siku moja , kuwahi kushuhudiwa tangu kisa cha kwanza cha maambukizi hayo kilipotangazwa tarehe 12 Machi
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Virusi vya corona: Brazil ni nchi ya pili iliyopitisha vifo 50,000
Ongezeko la mzozo wa kisiasa limechangia masaibu ya Brazil, siku kadhaa baada ya kuthibitishwa kuwa zaidi ya watu miulioni moja wanaugua Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona
Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Italia yavunja tena rekodi, watu 793 wafa siku moja kwa corona, Ulaya yazidi kulemewa na vifo na maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s640/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Shirika la ha habari la Tasnim limelinukuu shirika la habari la AFP likitangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Wakala wa Kuwalinda Raia wa Italia ulisema jana kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kirusi cha corona nchini humo ilikuwa ni 793...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania