Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya

Kenya imerekodi idadi kubwa ya maambukizi ya corona kwa siku moja , kuwahi kushuhudiwa tangu kisa cha kwanza cha maambukizi hayo kilipotangazwa tarehe 12 Machi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya

Kenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde zilizotangazwa na Waziri wa Afya wan chi hiyo Bwana Mutahi Kagwe

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 80 wapatwa na maambukizi ya corona Kenya, akiwemo mtoto mchanga

Jumla ya watu waliopata virusi vya coroni nchini Kenya imefikia 1,109, Wizara ya Afya imetangaza Alhamisi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 'wasiojua wana virusi’ wanavyochangia kuongezeka kwa maambukizi

Wanasayansi wamepata ushahidi wa kushangaza kuhusu jinsi virusi vya corona vinavyosambazwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya

Idadi ya wanaume inaonekana kuwa juu zaidi kati ya wanaopata maambukizi ya virusi vya corona Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11

Hii ni idadi kubwa zaidi ya watu kupona kwa siku nchini Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 127 Wathibitishwa kuambukizwa corona Kenya

Idadi ya maambukizi ya corona Kenya yazidi kuongezeka kila uchao

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya

Idadi ya vifo Kenya kutokana na corona yafikia 58 huku wengine zaidi 147 wakithibitishwa kuambukizwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona

Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani