Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona

Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika

Janga la corona limeathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya watu. Hata hivyo kwa wakimbizi hususan wale walioko barani Afrika changamoto ni nyingi, kulingana na shirika la wakimbizi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi viongozi wa Afrika wanavyojikata mishahara kupambana na corona

Rais wa Rwanda na serikali yake aungana na wazo la rais wa Kenya na Malawi kutaka mishahara yao kukatwa ikiwa ni jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe

Shirika la Afya Duniani latoa angalizo juu ya ubashiri wa lini virusi vya corona vitatoweka

 

5 years ago

CCM Blog

WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA

  Shirika la Afya Duniani, WHO, limeonya kwamba bara la Afrika huenda likawa na idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya Corona. 

WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO

Kumekuwa na takriban vifo 1,000 na zaidi ya maambukizi 18,000 barani Afrika kufikia sasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Huenda Afrika iliyachelewesha maambukizi lakini haikuyadhibiti

Nilitumia wakati wangu mwingi kuwafuatilia baadhi ya maafisa wa polisi wa Afrika Kuisni wakati wakipiga doria katika barabara nyembamba na zenye giza za mji wa Alexandria kandokando ya mji wa Johannesburg.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone

Sehemu ya kwanza ya kipindi cha Afrika Eye inaangazia mlipuko wa corona unavyobadilisha tabia za raia wa Sierra Leone kuhusu jinsi wanavyoshirikiana

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani

Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mnyama aliyesambaza corona huenda asijulikane

Mnyama aliyesambaza virusi vya corona kutoka kwa popo hadi kwa binadamu huenda asijulikane, kwa mujibu wa wanasayansi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani