Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Huenda Afrika iliyachelewesha maambukizi lakini haikuyadhibiti

Nilitumia wakati wangu mwingi kuwafuatilia baadhi ya maafisa wa polisi wa Afrika Kuisni wakati wakipiga doria katika barabara nyembamba na zenye giza za mji wa Alexandria kandokando ya mji wa Johannesburg.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'

Maafisa wa afya wa ngazi ya juu wa nchini Marekani wameonya wimbi jipya la maambukizi ya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona

Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.

 

5 years ago

CCM Blog

WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA

  Shirika la Afya Duniani, WHO, limeonya kwamba bara la Afrika huenda likawa na idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya Corona. 

WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe

Shirika la Afya Duniani latoa angalizo juu ya ubashiri wa lini virusi vya corona vitatoweka

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: WHO yasema maambukizi 'yanaongezeka' Afrika

Janga la virusi vya corona linazidi kushika kasi Afrika, Shirika la Afya duniani (WHO) limesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi?

Rwanda, Nigeria zaungana na Afrika Kusini, Ghana, Kenya kulegeza masharti.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Changamoto za wanakijiji Afrika Kusini wanaokabilwa na maambukizi

Kijiji kimoja Afrika kusini chajitahidi kukabiliana na corona licha ya umaskini

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona

Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je maafisa wa usalama wa Afrika wanazingatia haki za raia katika udhibiti wa maambukizi?

Askari wenye silaha wamekua wakiwapiga na kuwarushia maji ya gesi watu katika maeneo mbalimbali ya mataifa ya Afrika na wengine kufikia hata kuwauwa ili kuhakikisha kuwa hatua za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa corona zinachukuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani