Virusi vya corona: Huenda Afrika iliyachelewesha maambukizi lakini haikuyadhibiti
Nilitumia wakati wangu mwingi kuwafuatilia baadhi ya maafisa wa polisi wa Afrika Kuisni wakati wakipiga doria katika barabara nyembamba na zenye giza za mji wa Alexandria kandokando ya mji wa Johannesburg.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'
Maafisa wa afya wa ngazi ya juu wa nchini Marekani wameonya wimbi jipya la maambukizi ya corona.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XL3HyK4xcck/XprL1q72lgI/AAAAAAAC3Vg/X_F8bVWII18XW-66RdC5qprmYFk7vXUJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XL3HyK4xcck/XprL1q72lgI/AAAAAAAC3Vg/X_F8bVWII18XW-66RdC5qprmYFk7vXUJACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe
Shirika la Afya Duniani latoa angalizo juu ya ubashiri wa lini virusi vya corona vitatoweka
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Virusi vya corona: WHO yasema maambukizi 'yanaongezeka' Afrika
Janga la virusi vya corona linazidi kushika kasi Afrika, Shirika la Afya duniani (WHO) limesema.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi?
Rwanda, Nigeria zaungana na Afrika Kusini, Ghana, Kenya kulegeza masharti.
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Changamoto za wanakijiji Afrika Kusini wanaokabilwa na maambukizi
Kijiji kimoja Afrika kusini chajitahidi kukabiliana na corona licha ya umaskini
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je maafisa wa usalama wa Afrika wanazingatia haki za raia katika udhibiti wa maambukizi?
Askari wenye silaha wamekua wakiwapiga na kuwarushia maji ya gesi watu katika maeneo mbalimbali ya mataifa ya Afrika na wengine kufikia hata kuwauwa ili kuhakikisha kuwa hatua za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa corona zinachukuliwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania